Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wadau,
Heshima mbele. Wajameni suala la sauti ya TV yetu ya taifa TBC1 linakera. Kimsingi wale ambao ni wapenzi wa kuangalia television hiyo, mtakubaliana na mimi kuwa sauti inashuka halafu baadae inapanda ghafla sana. Nashauri wahusika walishughulikie suala hili mapema sana ili kuondolea kero watazamaji wao.
Heshima mbele. Wajameni suala la sauti ya TV yetu ya taifa TBC1 linakera. Kimsingi wale ambao ni wapenzi wa kuangalia television hiyo, mtakubaliana na mimi kuwa sauti inashuka halafu baadae inapanda ghafla sana. Nashauri wahusika walishughulikie suala hili mapema sana ili kuondolea kero watazamaji wao.