linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Hahahaaa umemaliza!Niliposoma tu andiko hili nimewapigia voda nakuwaeleza sitaki tena kuona msg za aina hiyo kwenye simu yangu,wamejibu kuwa wataacha kunitumia na SMS wamenitumia kuthibitisha kuwa wanashuhulika kunitoa kwenye matangazo hayo ya kamata mpunga,wacha nisubiri nione kama wataacha kweli, nashauri nanyi mnao kerwa na msg hizo pigeni Huduma kwa Wateja waelezeni kuwa hamzitaki hizo msg.