[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hapana mkuu. Niljifunza kublock sababu ya hz msg za voda. Yaan unaweza ukawa umesubir msg ya mpesa alafu inaingia ya voda kamata mpunga. Nikaona ni ujnga.Hahahahahaha mkuu utakua mchepukaji!! Ndo maana ulianza kujifunza kublock.
(Joking)
Wenzenu wanashinda mipunga.....
Huwezi kushinda kama huchezi. Jiunge na sherehe za ushindi kuna ma mia ya wachezaji wa KAMATA MPUNGA ambao wameshahinda MPUNGA MREFU!TUMA NENO GO kwenda 15544!
Nimewachoka sana.
[emoji3] [emoji3]Wanaboa sana....kwa nn tunalazimishana mipunga!!! Si wakaimwage huko mabondeni ikaote...ebo
Polenilifikiri ni mimi tu..duu inachosha
Juzi kati hapa nilipiga simu customer care kuwaomba wani unsubscribe kwenye kupokea messages za Voda, akasema haiwezekani. Alo nilimfokea sana dada wa watu, baadaye nikagundua tu kuwa namuonea ikabidi nikate simu. Ila kwa ufupi wanaboa sana...Mmiliki wa 759743333 umechaguliwa kushiriki katika droo ya TZS 5,000,000 kesho! Tuma neno GO kwenda 15544 SASA & UJIUNGE Vodacom KAMATA MPUNGA!
Mmmiliki wa 759743333 AMECHAGULIWA KUJIUNGA kwenye droo leo ya ZAWADI TASLIMU. KUJIUNGA TUMA NENO GO kwenda 15544 SASA.
Kwanini kila siku mnichague mimi tu kwani hamna watumiaji wengine. Sina shida ni izo pesa zenu. Sasa tupo kwenye awamu ya Hapa kazi Tu hakuna pesa za bure bure kiraisi ivyo. Sidanganyiki ngooooo.