Kero: Nimechoka hizi SMS za Vodacom

Kero: Nimechoka hizi SMS za Vodacom

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,691
Mmiliki wa 759743333 umechaguliwa kushiriki katika droo ya TZS 5,000,000 kesho! Tuma neno GO kwenda 15544 SASA & UJIUNGE Vodacom KAMATA MPUNGA!

Mmmiliki wa 759743333 AMECHAGULIWA KUJIUNGA kwenye droo leo ya ZAWADI TASLIMU. KUJIUNGA TUMA NENO GO kwenda 15544 SASA.

Kwanini kila siku mnichague mimi tu kwani hamna watumiaji wengine. Sina shida ni izo pesa zenu. Sasa tupo kwenye awamu ya Hapa kazi Tu hakuna pesa za bure bure kiraisi ivyo. Sidanganyiki ngooooo.
 
Niliposoma tu andiko hili nimewapigia voda nakuwaeleza sitaki tena kuona msg za aina hiyo kwenye simu yangu,wamejibu kuwa wataacha kunitumia na SMS wamenitumia kuthibitisha kuwa wanashuhulika kunitoa kwenye matangazo hayo ya kamata mpunga,wacha nisubiri nione kama wataacha kweli, nashauri nanyi mnao kerwa na msg hizo pigeni Huduma kwa Wateja waelezeni kuwa hamzitaki hizo msg.
 
Back
Top Bottom