ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Pale unapokwenda kutafuta tiba na katikàti ya huduma unaelezwa na madaktari husika kuwa: "Kipimo au tiba hii haiingii kwenye NHIF, inabidi ulipie cash."
NHIF mlipoanza huduma hii hili mlilipanga vipi?
Je, ni haki mteja wenu mnamkata pesa kila mwezi na mara nyingi haugui ama kutumia kadi hata miezi sita, vipi mteja wenu huyu anapofikwa na shida kubwa katika ugonjwa anakutana na kikwazo hiki?
Nini hasa tatizo?
Je, ni lini shida hii itaondolewa ili tupate kunufaika na huduma zenu kwa 100% pia kuizidishia thamani kadi yenu ya matibabu?
NHIF mlipoanza huduma hii hili mlilipanga vipi?
Je, ni haki mteja wenu mnamkata pesa kila mwezi na mara nyingi haugui ama kutumia kadi hata miezi sita, vipi mteja wenu huyu anapofikwa na shida kubwa katika ugonjwa anakutana na kikwazo hiki?
Nini hasa tatizo?
Je, ni lini shida hii itaondolewa ili tupate kunufaika na huduma zenu kwa 100% pia kuizidishia thamani kadi yenu ya matibabu?