Tmlekwa
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 258
- 241
Wadau,
Kuna hili bango hapo kwenye round about ya kwa kakobe yaan ni hatari sana nyakati za usiku sababu lina mwanga mkali sana unaokupiga machoni kama ukiwa unatokea Mwenge kwenda Ubungo. Kama ni mgeni unaweza kugonga hio round about.
Ushauri mamlaka ihamishe ilo bango au ilipandishe juu maana ni fupi
Kuna hili bango hapo kwenye round about ya kwa kakobe yaan ni hatari sana nyakati za usiku sababu lina mwanga mkali sana unaokupiga machoni kama ukiwa unatokea Mwenge kwenda Ubungo. Kama ni mgeni unaweza kugonga hio round about.
Ushauri mamlaka ihamishe ilo bango au ilipandishe juu maana ni fupi