- Thread starter
- #81
Huu ni mkutano wa WAKUU wa nchi za Afrika Mashariki.Mwacheni Kenyatta afanye mambo mengine kwani ilikuwa lazima kwenda mbona as mama Samoa Mara zote anakwenda ughaibuni kumwakilisha mzee wetu Wa kijiji au mmesahau?
Sijui kama una habari kiongozi MPYA wa AU AMEPIGA MARUFUKU marais wa UMOJA wa nchi za Kiafrika KUWAKILISHWA na watu WENGINE kando ya MARAIS?