Kwani hao wenzake ni wapiga kura huko Kenya??Ni kweli. Ila kwa hili kuna zaidi ya KAWAIDA. Maana angependa aungwe mkono na wenzake katika uchaguzi wao huko. Ama unaonaje kwa hili mkuu.
Acha kuonesha udhaifu wako waziwazi. Kabudi katueleza tutumie staha!!