Kenyatta akwepa kuhudhuria mkutano wa 18 wa viongozi wakuu wa nchi za Afrika Mashariki!

Ni kweli. Ila kwa hili kuna zaidi ya KAWAIDA. Maana angependa aungwe mkono na wenzake katika uchaguzi wao huko. Ama unaonaje kwa hili mkuu.

AUNGWE MKONO KWANI HAWA MARAISI WA NCHI NYINGINE NIWAPIGA KURA WA KENYA? AU UNADHANI WATAPANDA MAJUKWAANI KUMPIGIA KAMPENI? AU UNATAKA WAWE WANAMPA TAARIFA ZA KIINTELEJENSIA KUHUSIANA NA WAPINZANI WAKE? HUO UTAKUWA NI UPUUZI. USIWE KILA KITU UNAKUWA NA HISIA HASI. KWANINI USIWAZE ANAONA AIBU KWA KUSHINDWA SARAKASI ZAKE KUHUSU BOMBA LA MAFUTA? UWE MZALENDO KWA NCHI YAKO. USIWE KAMA MWANAMKE ALIYEOLEWA ILA NI MZINZI, HAWEZI THAMINI MAZURI YA MUMEWE. ATAKUWA ANAONA MUMEWE HAFAI ILA WANAUME WA WATU NDIO BORA
 
AUNGWE MKONO KWANI HAWA MARAISI WA NCHI NYINGINE NIWAPIGA KURA WA KENYA? AU UNADHANI WATAPANDA MAJUKWAANI KUMPIGIA KAMPENI? AU UNATAKA WAWE WANAMPA TAARIFA ZA KIINTELEJENSIA KUHUSIANA NA WAPINZANI WAKE? HUO UTAKUWA NI UPUUZI. USIWE KILA KITU UNAKUWA NA HISIA HASI. KWANINI USIWAZE ANAONA AIBU KWA KUSHINDWA SARAKASI ZAKE KUHUSU BOMBA LA MAFUTA? UWE MZALENDO KWA NCHI YAKO. USIWE KAMA MWANAMKE ALIYEOLEWA ILA NI MZINZI, HAWEZI THAMINI MAZURI YA MUMEWE. ATAKUWA ANAONA MUMEWE HAFAI ILA WANAUME WA WATU NDIO BORA
Dah uzalendo nafikiri wewe huuelewi.Uzalendo ni KULIPENDA taifa lako..........!!!!!
 
Sio kila jambo ni la kutoa msimamo! Wakati ule alipendelea Odinga, mm naamini hana sababu ya kuugeuka msimamo wake! Ila abake nao kimya kimya, sisi tuongee mwisho wake tutatulia!!!!
Na huyo jamaa Odinga hawezi KUSHINDA. Kwa mtazamo wangu.
 
Mkuki kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu. Mbona JPM anamtuma mama Samia au Majaliwa kumwakilisha kwenye mikutano mikubwa hamlalami!
 
Sababu nyingine ni Tanzania kuruhusu Odinga (NASA) kujenga data center nchini kwa ajili ya kudukua uchaguzi wa Kenya.
Ingawa hilo la DATA hapa kwetu bado tuna li TREAT kama MADAI tu. Japokuwa kweli yamesemwa.
Ila sisi bado hatujalikanusha. Pengine hiyo ndo shida.
 
ffb14745b47819c2e917f363da1ef663.jpg
Chanzo hiki hapa
Kenyata shinda uchaguzi kisha vunja uhusiano na Jamhuri ya Muungano wa Wala Rambirambi.
 
Mleta mada mchochezi, naona hii ni ID yako nyingine ulitaka kufikisha ujumbe na umefika. Nimeona ulijiunga siku zinazokaribiana. hata hivyo marais hawapigii kura rais wa nchi nyingine pia Magufuli amewakilishwa mara nyingi tu na Makamu na Waziri mkuu hadi mkalalamika humu jukwaani. Kenyata hajafanya tofauti na anavyofanya rais wetu.
Mkuu. Hueleweki. Hebu fafanua.
 
LET US ALSO KNOW YOUR SPECULATION ABOUT, PRESIDENT KAGAME? . Turn also to economic reasons.

Analyse President Museven very revealing speach, the clue is encrypted in it
Thanks,
 
Atakua amekerwa na ulaji wa rambirambi uliokithiri. Pia atakua alishangazwa na kakidampa kamoja kujitokeza hadharani na kudai kangewachapa viboko watumishi kwa kudai stahiki zao na kanaachwa kajiropokee kanavopenda kwa kua ni katoto kapendwa. Ni mawazo yangu tu kina melo msinipige ban kwa kutoa maoni.
Hapo sikubaliani nawe kuwa hiyo ndo sababu.
 
Kenyata shinda uchaguzi kisha vunja uhusiano na Jamhuri ya Muungano wa Wala Rambirambi.
Huo si ushauri wa kizalendo. Tunachotaka ni kujaribu kuokoa kama kuna kutokuaminiana na dhana zisizo na misingi.
 
Mwacheni Kenyatta afanye mambo mengine kwani ilikuwa lazima kwenda mbona as mama Samoa Mara zote anakwenda ughaibuni kumwakilisha mzee wetu Wa kijiji au mmesahau?
 
Mkuki kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu. Mbona JPM anamtuma mama Samia au Majaliwa kumwakilisha kwenye mikutano mikubwa hamlalami!
Nafikiri wewe hujaelewa ni nini hasa kuhusu Mada hii. Marais wakiwa pamoja mara nyingi huwa na mikutano yao ya FARAGHANI hubadilishana mambo ya SIRI mbali na vyombo vya HABARI.
Na wakati mwingine ni SENSITIVE sana kiasi kuwa inawezekana ikawa hata MAKAMU wa rais SI LAZIMA ajue.
Ndo maana mkutano unaitwa
"MKUTANO WA WAKUU WA NCHI" Mkuu Usipoelewa hilo utazidi kunilaumu bure bila kuiangalia picha kamili.
UCHAGUZI kwake umekaribia na kuna mambo mawili ama matatu ambayo yanahitaji USO kwa USO na MARAIS wengine siyo SIMU wala MAKAMU wa rais.
 
Back
Top Bottom