joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Kwani huwajui wakunya?, Wao lazima wajikweze na kuwashusha wengine, jambo la kushangaza ni kwamba, Kenya bado inaagiza Cement ya Dangotte toka Ethiopia kujaza pengo la viwanda vyao vya ndani, kwamba Tanzania bado ndiyo kinara wa Uzalishaji wa Cement hapa EA.Hiyo sio point ya yangu.... wameweka taarifa za uongo.