Kenya yathibitisha rasmi kuiogopa Tanzania katika biashara. Yakataa kuidhinisha ujenzi wa kiwanda cha gesi cha Rostam

SRI Lanka inaingiaje hapa? Hebu muwe mnachukua time kusoma issues za kimataifa kabla ya ku post. Short of that mnaonyesha how mediocre minded you are
Wewe ndiye mwenye uwelewa mdogo, soma tena nini ametaka kuzungumzia hadi kuitaja Sri-Lanka, Sasa kitu gani hujaelewa hapo?.

Yeye anaonyesha ni jinsi gani viongozi wa Kenya wakishirikiana na wafanya biashara wanavyokandamiza wananchi wa chini kwa manufaa Yao, jambo linalosababisha hali ya maisha kuwa mbaya kwa raia wa kawaida Kama ulivyotokea huko Sri-Lanka hadi wananchi wakalazimika kuingia Ikulu, Sasa hapo unashindwa kuunganishaje?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndiye mwenye uwelewa mdogo, soma tena nini ametaka kuzungumzia hadi kuitaja Sri-Lanka, Sasa kitu gani hujaelewa hapo?.

Yeye anaonyesha ni jinsi gani viongozi wa Kenya wakishirikiana na wafanya biashara wanavyokandamiza wananchi wa chini kwa manufaa Yao, jambo linalosababisha hali ya maisha kuwa mbaya kwa raia wa kawaida Kama ulivyotokea huko Sri-Lanka hadi wananchi wakalazimika kuingia Ikulu, Sasa hapo unashindwa kuunganishaje?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Basi kila tatizo duniani litakuwa linked na Sri Lanka maana kila Nchi Ina viongozi na viongozi ndiyo wanafanya maamuzi
 
Basi kila tatizo duniani litakuwa linked na Sri Lanka maana kila Nchi Ina viongozi na viongozi ndiyo wanafanya maamuzi
Kwahiyo kwa Sasa hivi ulitaka alinganishe na nchi gani ambayo watu wake wameamua kuing'oa serikali kutokana na hali ngumu ya maisha?.

Ukiambiwa utoe mfano wa karibuni ambako raia waliamua kuandama kupigana ongezeko la gharama za maisha na kuvamia Ikulu, wewe utataja nchi gani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya wafike mahali wakubali kuwa Tanzania ya Sasa inanguvu ya kuvutia foreign investment,ina investor wa ndani na wafanyabiashara wa kutosha,inaunchumi tangible na inafanya vizuri kiuchumi.
 
Dear Kenyans....if u didn't know , Tanzania has moved to another level. We are now using Gas in automobiles instead of petrol and Diesel. So far we have 3 gas stations in DSM and plans to add more countrywide. Almost 2000 vehicles have converted into natural gas which is more cheaper and smart than the traditional petrol and Diesel.
Go online check it out TPDC Tanzania.
Upo nyonyo??
 
Back
Top Bottom