Kenya yashika namba tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa kutoka China kwa nchi za Bara la Africa

Wewe endelea kujifariji tu, lakini kenya ishakua kama mgonjwa wa ukimwi bila ARV hakuna maisha na ndio kama kenya bila mikopo hiyo nchi yenu aitoboi popote na mbaya zaidi sehemu kubwa ya mikopo inaishia mifokoni mwa wa njanja wachache.

Sasa mmeingia kwenye kumi nane za wahuni kutoka Beinjing lazima mtakubali show
  1. Tumeingia show tangu JF kuanzishwa. Wamekuja wengi kabla yako na kusema haya ila nambari tunashikilia kidete. Alianza Geza ulole, kafuatwa na Kadoda, motochini,Mulisaa alafu new breeds wakatokea kina mkikuyu akili timamu, joto la jiwe, ichoboy na Sasa naona California na drone camera mshaingia. Karibuni ila mjue Sisi Wakenya...We came to JF We saw we conquered.
 
Yani $50bn isitushinde ije hako ka peanut ka china
Hiyo $50 isiwashinde kiaje yaani? Mlishalipa kiasi hicho cha pesa wapi? Hizo $50+ ni za mashirika ya fedha ya kimataifa hao hawana tabu sana.Ila Mchina akikukopesha hana longolongo na pesa yake.Unairudisha bila kujivuta.Zile 33B kshs za SGR mmeshindwa lipa! China anaenda kupata makoloni ya kutosha Africa sasa!
 
Huwa imekaaje kuona nchi zenye chumi kubwa kama USA na Japan zinakuwa na madeni.

Wataalamu wa uchumi mnasemaje hapa. Au ndio mambo ya kibepari.
 
  1. Tumeingia show tangu JF kuanzishwa. Wamekuja wengi kabla yako na kusema haya ila nambari tunashikilia kidete. Alianza Geza ulole, kafuatwa na Kadoda, motochini,Mulisaa alafu new breeds wakatokea kina mkikuyu akili timamu, joto la jiwe, ichoboy na Sasa naona California na drone camera mshaingia. Karibuni ila mjue Sisi Wakenya...We came to JF We saw we conquered.
😂😂 sijajua kama ni povu au nini lakini mimi sina tatizo na kenya wala wakenya couz nyie ni watani zetu na tunatania na kumbiana ukweli tu, au unataka kukataa kua kenya sio namba tatu katika nchi zenye madeni makubwa kutoka kwa wahuni wa Beijing
 
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi mbalimbali ya kiuchumi nchini kenya, hata hivyo kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kenya wakiwatuhumu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya fedha hizo za mkopo ambazo zinalipwa kupitia kodi za wananchi.

Katika orodha hii nchi za east africa nimeiona kenya huku akipewa back up na mbabe wake Ethiopia

Mwisho napenda kuwapongeza watani zetu kenya kwa kushika namba tatu katika orodha hii kwani mmetugalagaza sisi tz kwani atuonekani kabisa katika top ten

The Top Ten African Countries With the Largest Chinese Debt | The African Exponent.
kisa cha nyani na kundule labda......

Swahili Times

@swahilitimes


Deni la Taifa kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki hadi Juni 2019 (takwimu za Rwanda ni hadi Dis. 2018) (TZS):

Kenya: 133.7 trilioni

Tanzania: 51.8 trilioni

Uganda: 27.6 trilioni

Rwanda: 12.4 trilioni

Burundi: 5.4 trilioni Jumla: 230.9 trilioni HT: The EastAfrican


Image

11:29 PM · Nov 12, 2019·Twitter Web App
51
Retweets
 
Hiyo $50 isiwashinde kiaje yaani? Mlishalipa kiasi hicho cha pesa wapi? Hizo $50+ ni za mashirika ya fedha ya kimataifa hao hawana tabu sana.Ila Mchina akikukopesha hana longolongo na pesa yake.Unairudisha bila kujivuta.Zile 33B kshs za SGR mmeshindwa lipa! China anaenda kupata makoloni ya kutosha Africa sasa!
Uko na ushahidi wowote kutoka kw hao lenders km tumeshindwa kuwalipa.
 
kisa cha nyani na kundule labda......

Swahili Times

@swahilitimes


Deni la Taifa kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki hadi Juni 2019 (takwimu za Rwanda ni hadi Dis. 2018) (TZS):

Kenya: 133.7 trilioni

Tanzania: 51.8 trilioni

Uganda: 27.6 trilioni

Rwanda: 12.4 trilioni

Burundi: 5.4 trilioni Jumla: 230.9 trilioni HT: The EastAfrican


Image

11:29 PM · Nov 12, 2019·Twitter Web App
51
Retweets
Ungeliweka na pato la taifa kila nchi
 
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi mbalimbali ya kiuchumi nchini kenya, hata hivyo kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kenya wakiwatuhumu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya fedha hizo za mkopo ambazo zinalipwa kupitia kodi za wananchi.

Katika orodha hii nchi za east africa nimeiona kenya huku akipewa back up na mbabe wake Ethiopia

Mwisho napenda kuwapongeza watani zetu kenya kwa kushika namba tatu katika orodha hii kwani mmetugalagaza sisi tz kwani atuonekani kabisa katika top ten

The Top Ten African Countries With the Largest Chinese Debt | The African Exponent.
MK254
 
Nadhani ukichukua ratio ya GDP na madeni unaweza kuta kenya ndio nchi ambayo inatumia vizuri mikopo yake.
kisa cha nyani na kundule labda......

Swahili Times

@swahilitimes


Deni la Taifa kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki hadi Juni 2019 (takwimu za Rwanda ni hadi Dis. 2018) (TZS):

Kenya: 133.7 trilioni

Tanzania: 51.8 trilioni

Uganda: 27.6 trilioni

Rwanda: 12.4 trilioni

Burundi: 5.4 trilioni Jumla: 230.9 trilioni HT: The EastAfrican


Image

11:29 PM · Nov 12, 2019·Twitter Web App
51
Retweets
 
Both. Start with foreign reserves.

Kuna miezi flani hapo kati ya June na July hua reserves zinapungua hadi kama $7.5B sababu hua ni wakati wa kulipa madeni, lakini hio miezi miengine hua tunachezea reserves za takriban $9B hivi, mwanzo kuna wakati flani mwaka uliopita tulikua na reserves za $10Billion



1593774258191.png

Kenya Foreign Exchange Reserves [1995 - 2020] [Data & Charts]


Kwahivyo hao wachina wakitusaliti na kuamua ni lazima tuwalipe hela zao zote, kutakua na economic shock kweli lakini uchumi hautaanguka sababu tuko na enough forex reserves ku absorb hio impact ya kulipa deni lao
 
Back
Top Bottom