Kenya yashika namba tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa kutoka China kwa nchi za Bara la Africa

CARIFONIA

JF-Expert Member
Aug 17, 2013
517
901
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi mbalimbali ya kiuchumi nchini kenya, hata hivyo kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kenya wakiwatuhumu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya fedha hizo za mkopo ambazo zinalipwa kupitia kodi za wananchi.

Katika orodha hii nchi za east africa nimeiona kenya huku akipewa back up na mbabe wake Ethiopia

Mwisho napenda kuwapongeza watani zetu kenya kwa kushika namba tatu katika orodha hii kwani mmetugalagaza sisi tz kwani atuonekani kabisa katika top ten

The Top Ten African Countries With the Largest Chinese Debt | The African Exponent.
 
Shaur yao nliwaambia mapema Waache hiyo tabia hawakusikia
Kila mtu apambane na Hali yake
 
Kunya land
FB_IMG_15936249736818571.jpg
 
Washaanza kuchapwa viboko,kukatwa vidole na matus wanatukanwa na wachina had na high ranking governors....polen....cjui mnakurupukaga kwanini
 
Hawa jamaa wako busy kukopa kujenga expressways wapigwe pesa na mchina kwenye tolls wakati sisi tunajenga infrastructure kuaccomodate Public Transport for all. Sijui wanafikiria nini?
 
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi mbalimbali ya kiuchumi nchini kenya, hata hivyo kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kenya wakiwatuhumu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya fedha hizo za mkopo ambazo zinalipwa kupitia kodi za wananchi.

Katika orodha hii nchi za east africa nimeiona kenya huku akipewa back up na mbabe wake Ethiopia.

Mwisho napenda kuwapongeza watani zetu kenya kwa kushika namba tatu katika orodha hii kwani mmetugalagaza sisi tz kwani atuonekani kabisa katika top ten

The Top Ten African Countries With the Largest Chinese Debt | The African Exponent.
Muda si mrefu nchi ya kibepali inaenda kutawaliwa na wa communist. Na hatutotuma majeshi kuwakomboa kama tulivofanya kwa nchi za kusini enzi za Nyerere. Hili janga mlilichuma wenyewe
Waolewe tu sasa tutawasaidiaje watani zetu?
Nasikia chainisi watagombea kwenye uchaguzi
Hawa jamaa wako busy kukopa kujenga expressways wapigwe pesa na mchina kwenye tolls wakati sisi tunajenga infrastructure kuaccomodate Public Transport for all. Sijui wanafikiria nini?
Washaanza kuchapwa viboko,kukatwa vidole na matus wanatukanwa na wachina had na high ranking governors....polen....cjui mnakurupukaga kwanini
Shaur yao nliwaambia mapema Waache hiyo tabia hawakusikia
Kila mtu apambane na Hali yake
Inaitwa mbuzi kala mkeka



Si mtachoka kungoja? endeleeni kuketi chini ya mnazi mkingoja Kenya ianguke. SO what kama Kenya ni number tatu Africa kwa kudaiwa na China, na deni la USD 7.9 Billion? Je mnafahamu kwamba madeni yote ya Serekali Kenya ni $60 Billion? So mnacheka $7.9B za China wakati tunadaiwa over $50B na wengine....

Taarifa yenu iliochapishwa 2nd June 2020 inasema tunadaiwa $7.9B na China

----------------------------------------------
3. Kenya
Even after the discovery of oil in the northern part of the country, nothing in essence is working towards cutting down the levels of debt to China. Kenya has an estimated debt of US$7.9 billion. The country has been taking money to facilitate the fruition of its infrastructural projects. But as lack of transparency and accountability come into play, a lot of money has been lost to corruption.
----------------------------------------------------------




Hii taarifa ya October 2019 inaonyesha by 2017 tulikua tunadaiwa $9.8 Billion na China

------------------------------------------------------------
The country has acquired at least $9.8 billion between 2006 and 2017, making it Africa’s third-largest recipient of Chinese loans, according to the Economist.
Kenya struggles to manage debt for railway to 'nowhere' | DW | 18.10.2019
--------------------------------------------------------------


Kwahivyo kati ya 2017 na sahii 2020 tumeshalipa angalau 9.8 - 7.9 = $1.9 Billion na hatujaanguka wala kuweweseka, kwahivyo labda kutokee janga kubwa kama vita vya dunia ambavyo vitaendelea kwa kama miaka mitano hivi, usitarajie kuona Kenya ikiangushwa na deni la $7.9 Billion only!
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom