The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,256
- 42,875
kwa rushwa iliyokithiri iliyopo kenya, sehemu kubwa ya deni imepigwa na wajanja jombaaaaa
Hizi nchi zetu rushwa, ufisadi na ufujaji wa pesa ni ngumu sana kujiepusha navyo, ni tatizo sugu.
Hata hivyo wote wakenya na watanzania tupo kwenye dimbwi la madeni na bado yanaongezeka. Ndio maana siasa za kujivunia unafuu wa umasikini si ziafiki sana.