BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,812
- 2,159
Kwani Kila mwezi huwa na constant growth???Mzee twende sasa hiyo
2.2bx12 itafika $126m.
First three months growth ya huu mwaka shows the increase ilianza last year june-august
Kwani Kila mwezi huwa na constant growth???Mzee twende sasa hiyo
2.2bx12 itafika $126m.
Elimu duni jombaa, hatuwezi tukalaumu lugha. Hao sasa ndio wanasayansi wa Tz. Top of the chain, sijui raia wa kawaida watakuwaje kwenye medula.Can we blame this math problem kutumia kiswahili kusoma ama rusungu ndio shida, na mtu anasema ni mwanasayansi
Kwani Kila mwezi huwa na constant growth???
First three months growth ya huu mwaka shows the increase ilianza last year june-august
Kwani nyie wtz hamna bandari?Maparachichi ya kutoka wilaya ya SIHA yanapitia Bandari ya Mombasa kwenda kwenye Masoko ya nje na hawa wakenya wanaingiza hizo exports kwenye takwimu zao!!!
Halo!!! Hivi wewe ndo mbobezi wa IT?!Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chuku 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B
Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.
May be mathematics hamjui.
Kwanza kubali we ni PUMBAVU!Mzee twende sasa hiyo
2.2bx12 itafika $126m.
Mzee ndio ulikuwa unanisubiri kuwa umepata ka nafasi.Kwanza kubali we ni PUMBAVU!
Kichwani una nini tofauti na kamasi?
huwezi ukatuaibisha hivi tukakukalia kimya.
Jombaa, ni mwanasayansi wenu huyo! Tanguliza kwa heshima, usitumie maneno makali tafadhali.Kwanza kubali we ni PUMBAVU!
Kichwani una nini tofauti na kamasi?
huwezi ukatuaibisha hivi tukakukalia kimya.
Nimekuwa nikisoma reply za TZ wengine nikajua wanavutanga Bangi sana sana😃 Yani unataka kumaanisha wakulima wa Avocado Kenya wanalipwa Bure,ama munathani sisi hatuna wakulima Bongolala hizi🤣ATI hamna hii hamna Ile,wivu tupu na ndo inafanya mpaki palepale wengine wakisonga mbele.90 percent ya parachichi zinazotoka Kenya kwenda nje zinatoka Tanzania
Ulisoma kilichoandikwa au umekurupuka... ImeamdikwaAnaingiza 47M Kshs equivalent to 1B Tshs (proxy). Aseee47 million Tz money ukiconvert into Kenyan Shillings Ni Ushuzi mtupu 🤭🤣🤣🤣🤣🤣
The question is: Si mtumie tu bandari yenu ya Dar to 'export' your avocados. Mbona mnapenda excuses hivi?Ila wewe Yoseph umekosaga akili
View attachment 1767231View attachment 1767232View attachment 1767233
Aliyewazuia kutoa ni nani?Mzee unapiga kelele biashara ya ksh4b tu kweli?. Mzee biashara ya parachichi bado hatujatoa ripoti yetu. Mnakimbiana humu.
Mzee kuna zao lolote Kenya linafikia hapa!?Aliyewazuia kutoa ni nani?
Hiyo ndio ripoti yenu ya parachichi?Mzee kuna zao lolote Kenya linafikia hapa!?
View attachment 1768505
Nakuuliza tena kuna mazao Kenya yananusa pua hapa!? Kama hakuna tulia ili sindano iingie vizuri upate dawaHiyo ndio ripoti yenu ya parachichi?
Tangu lini Ksh4b ikawa sawa na Tsh40b? Hata hesabu za 1+1 ni taabu kwenu!Mzee 4b ni sawa na Tsh 40b hizo ni pesa za ndogo kwenye nchi.
Hizi hapa takwimu za 2019 kuhusu avocado za Tanzania.
View attachment 1767461
Wewe taarifa ya Tanzania uliyoleta ilikuwa kutoka jwenye official website? Watanfanyika si mko na mauchungu? 😂Unaweza kuleta taarifa kutoka kwenye official website!? Mzee mambo ya IT Mimi ni mbobezi. Huwezi kuniletea website uchwara.
Unaona unavyo ji contradict!?
Umesema:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.
Do you know 93% maana yake!?
Tea alone earned Kenya $1.09b. Chezea kwenye ligi yenu mtanganyika. Hili la agribusiness hamuwezani nasiNakuuliza tena kuna mazao Kenya yananusa pua hapa!? Kama hakuna tulia ili sindano iingie vizuri upate dawa
View attachment 1768550