Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

Kwanza kubali we ni PUMBAVU!
Kichwani una nini tofauti na kamasi?
huwezi ukatuaibisha hivi tukakukalia kimya.
Mzee ndio ulikuwa unanisubiri kuwa umepata ka nafasi.
Poa. Naliweka jina lako.
hydrogen tutakutana humu humu tu. Nikikukuta usikasilike maana umeamua kuwa mtani wangu.
 
90 percent ya parachichi zinazotoka Kenya kwenda nje zinatoka Tanzania
Nimekuwa nikisoma reply za TZ wengine nikajua wanavutanga Bangi sana sana😃 Yani unataka kumaanisha wakulima wa Avocado Kenya wanalipwa Bure,ama munathani sisi hatuna wakulima Bongolala hizi🤣ATI hamna hii hamna Ile,wivu tupu na ndo inafanya mpaki palepale wengine wakisonga mbele.
 
Aliyewazuia kutoa ni nani?
Mzee kuna zao lolote Kenya linafikia hapa!?
Screenshot_20210429-135339.png
 
Unaweza kuleta taarifa kutoka kwenye official website!? Mzee mambo ya IT Mimi ni mbobezi. Huwezi kuniletea website uchwara.
Unaona unavyo ji contradict!?
Umesema:-
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.

Do you know 93% maana yake!?
Wewe taarifa ya Tanzania uliyoleta ilikuwa kutoka jwenye official website? Watanfanyika si mko na mauchungu? 😂
 
Back
Top Bottom