Kenya yapiga hela ndefu kutokana na mauzo ya zao la parachichi, mlitucheka sana tulipoanza kupambana

Wewe ni mpumbavu hujui hata uchumi.
Unajua PPP. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tunaongelea 47billion Mzee ni sawa na ksh4.3Billion
Wewe ni mpumbavu hujui hata uchumi.
Unajua PPP. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tunaongelea 47billion Mzee ni sawa na ksh4.3Bil
Kilaza Kama kawaida, kshs47m ni around Tsh 986 million., na nyinyi wengine mko vijiweni mifukara kazi nikupiga kelele humu., 0.01% of black African are running Tz, plus waarabu na wahindi., around 5%.,
 
Jombaa, $125M ni jumla ya exports za maparachichi kutoka Kenya mwaka jana,kwa miezi 12. KES 4.26B ni export ya mapachichi kwa miezi mitatu ya kwanza mwaka huu. Ni nini kinakukanganya hapo?
Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chuku 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
 
Kilaza Kama kawaida, kshs47m ni around Tsh 986 million., na nyinyi wengine mko vijiweni mifukara kazi nikupiga kelele humu., 0.01% of black African are running Tz, plus waaravu na wahindi., around 5%.,
Mzee usipotoshe hapo. Hapo anaongelea Tsh 47b.
Twende sawa Mzee. Acha kutukana ovyo ovyo bila sababu.
 
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year compared to the previous period, data by the Horticulture Directorate shows, buoyed by improved demand in global markets.

Kenya, which is ranked eighth globally in avocado production, exported 26,481 tonnes of the fruit between January and March this year compared to 15,101 tonnes in 2020.

The jump in avocado export volumes between January and March, came as Kenya lifted a ban on the shipment of the produce to markets abroad to curb pre-mature harvests by cartels keen on profiteering from global demand.

The Directorate of Horticulture allowed the resumption of export of the popular Fuerte variety on February 15 followed by Hass on March 8 after close to a four-month ban.

The horticulture regulator had banned the export of the two popular avocado varieties last November to curb the harvesting of the immature crop.

The avocado season for these main varieties normally comes to an end at that time resulting in a shortage of the fruit in the country, pushing up the cost of the commodity.

Kenya currently ships the bulk of its avocados to Europe and the Middle East.

Most of the consignments are currently heading to Europe, which is one of Kenya’s major markets for avocados in terms of returns, with some exported to the Middle East.

A few batches are exported to China as Kenya is yet to meet the conditions set by Beijing to warrant the exports of these fruits in large quantities.

Good returns​

The good returns from the sale of the fruit have attracted more Kenyans into cultivating it amid rising global demand.

“There has been an increase in area under cultivation and a shift from the traditional avocado growing zones to the Rift Valley and parts of western Kenya,” the Horticulture Directorate.

Avocado has been a major contributor of the income from the horticulture earnings, raking in nearly half of the total returns from fruits.

Kenya’s avocado exports jumped 15 per cent to 68,000 metric tonnes over the 12 months to October 2020, fetching the country Sh14 billion.


That price is for a seasonal plant that has one yearly harvest time!
 
Una uhakika na hiki unachoongea!? Mimi sipendi tabia za kuongea vitu hewani hewani. Weka ushahidi wa hiki unachokiongea.
Kenya ndio nchi ya 8 duniani kwa uzalishaji wa maparachichi na ya kwanza hapa barani Afrika. Kama una takwimu rasmi ambazo zinatoa taswira nyingine tofauti zilete humu tuzichambue.
 
Kuelimisha mitanzania ni kazi ngumu sana., akili zimeganda😂😂😂
Ndio unakimbilia huko siyo.
Wewe elezea

The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year

Je inaweza kukuletea $126m per year!?
 
Kenya ndio nchi ya 8 duniani kwa uzalishaji wa maparachichi na ya kwanza hapa barani Afrika. Kama una takwimu rasmi ambazo zinatoa taswira nyingine tofauti zilete humu tuzichambue.
Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
 
Huwa nakutana na wakenya wengi sana wakinunu parachichi huko Iringa. Wananunua sana zile zenye ganda la vipele.
Hongera kwenu ila imeniuma Sana jinsi bongo tunachezea fursa na Serikali haisaidii wala kuhimiza uzalishaji na kutafuta masoko

Bora wakenya mje kununua huku maana nyie angalau mna soko la uhakika na Serikali yenu inajitahidi kufungua fursa

Niliona na Uganda wameanza kulima nadhani by 2025 nchi za EAC zitakuwa top producer wa avocado but sijui soko litakuwaje hapo baadae
 
Jombaa, punguza bangi. MK254 hebu msaidie huyu jirani yetu. Labda wewe utakuwa mvumilivu zaidi.
Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.


Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
 
Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.


Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
Unategemea mini kwa msafirishaji tu, mzalishaji mtanzania ndio anajua yote hayo, wakenya ni madalali tu hapo wanaona nyota nyota 😅
 
Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.


Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
Kwanza kabisa, value ya exports za Kenya niliyokupa ni ya mwaka jana, sio 2019 wala 2021.

Pili, value yenyewe ilikuwa kwa dola $125M, kwahivyo lazima uifanyie conversion hadi kwa KES.

Tatu, value ya exports sio constant kutoka mwezi mmoja hadi mwingine au quarter moja hadi nyingine. Kwahivyo uache upuuzi wako wa kufanya division na multiplication. Inafaa uwe na takwimu za quarter zote za 2020 ili upate total figure ya 2020.

Nne, huwezi ukatumia takwimu za 2020 kupata total ya 2021 au 'vice versa' au utumie takwimu za quarter moja mwaka wa 2021 kupata total exports za 2020. Nimekueleza kwanini hizo hesabu zako uchwara hazifai, kwenye point yangu ya tatu.

Tano, nakudai karo ya darasa hili nililokupa na niongeze kwamba wivu wa aina hii kwa mwanaume sio 'healthy' hata kidogo. Adios amigo.
 
Kwanza kabisa, value ya exports za Kenya niliyokupa ni ya mwaka jana, sio 2019 wala 2021.

Pili, value yenyewe ilikuwa kwa dola $125M, kwahivyo lazima uifanyie conversion hadi kwa KES.

Tatu, value ya exports sio constant kutoka mwezi mmoja hadi mwingine au quarter moja hadi nyingine. Kwahivyo uache upuuzi wako wa kufanya division na multiplication. Inafaa uwe na takwimu za quarter zote za 2020 ili upate total figure ya 2020.

Nne, huwezi ukatumia takwimu za 2020 kupata total ya 2021 au 'vice versa' au utumie takwimu za quarter moja mwaka wa 2021 kupata total exports za 2020. Nimekueleza kwanini hizo hesabu zako uchwara hazifai, kwenye point yangu ya tatu.

Tano, nakudai karo ya darasa hili nililokupa na niongeze kwamba wivu wa aina hii kwa mwanaume sio 'healthy' hata kidogo. Adios amigo.
Mzee Mimi ni mwanasayansi.
Sitaki maelezo mareefu.
Leta calculation

Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.


Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
 
Mzee Mimi ni mwanasayansi.
Sitaki maelezo mareefu.
Leta calculation

Mzee mathematics ni vitu viko wazi
The value of Kenya’s avocado exports jumped 93 per cent to Sh4.26 billion in the first quarter of this year.


Mzee wewe math hujui!?
Increase ni 93%
Chukua 100-93 unapata 7%
7/100x4.26 = Ksh0.3B

Mzee chukua hiyo 0.3bx12
Ksh3.6b kwa mwaka.
Mzee hebu jaribu na wewe kuweka math hapa tukuone.

May be mathematics hamjui.
4.26×100%/193%= 2.2B
Last year the first three months waliuza 2.2b

4.26-2.2=2.07

Ksh2.1B ndio 93% increase.

RUDI SHULE,TAKATAKA WEWE.
 
Mzee twende sasa hiyo
2.2bx12 itafika $126m.
Jombaa kwa hesabu zako za darasa la kwanza hiyo 2.2Bx12 ambayo inakuwa 26.2B KES tayari imezidi $125M. $125M ni sawa na 14B KES(Kshs). Ambayo ndio ilikuwa total value ya exports za Kenya kwa miezi kumi na miwili kufikia Oktoba 2020. Siamini bado unang'ang'ania hizo hesabu zako uchwara. Eti mwanasayansi, bado hujachoka kujiaibisha? Nilishakupa takwimu rasmi kuhusu suala hilo kutoka kwa Horticulture Directorate nchini Kenya. Soma, acha uvivu. KENYA: Avocado export prices surge 33% – TFNet – International Tropical Fruits Network
 
Back
Top Bottom