Kumbe kutokunywa chai asubuhi ndo kuna athari hivyooo?Uhaba wa sukari umeathiri sana fikra za watu
Ndo nini hiiHypoglycemia
Sasa ni wazi labda kwa mara ya kwanza kabisa kwamba nchi ya Kenya pmj na maelite wake wanaingiwa na hofu na TanZania mpya, na hapa naongelea kiuchumi!
Hofu kubwa imetanda huko Kenya baada ya kuona jinsi nchi yetu inavyoanza kutoboa, na hapo ndiyo kwanza bado tunakuwa kwa ~7% vipi tukihit 8% na baadaye kidogo 10% si ndiyo watakufa kabisa!!
Chanzo ni mimi mwenyewe nilikuwa Nairobi hivi karibuni na huko maelite wote wamepoteza matumaini kabisa na Serikali yao (Kenya) na sasa huko mazungumzo ni kuhusu nchi yetu na Magufuli wetu!
Ndo nini hii
Sina simu yenye internet apa ,
deficiency of glucose in the bloodstreamSina simu yenye internet apa ,
Nambie tu
Sasa ni wazi labda kwa mara ya kwanza kabisa kwamba nchi ya Kenya pmj na maelite wake wanaingiwa na hofu na TanZania mpya, na hapa naongelea kiuchumi!
Hofu kubwa imetanda huko Kenya baada ya kuona jinsi nchi yetu inavyoanza kutoboa, na hapo ndiyo kwanza bado tunakuwa kwa ~7% vipi tukihit 8% na baadaye kidogo 10% si ndiyo watakufa kabisa!!
Chanzo ni mimi mwenyewe nilikuwa Nairobi hivi karibuni na huko maelite wote wamepoteza matumaini kabisa na Serikali yao (Kenya) na sasa huko mazungumzo ni kuhusu nchi yetu na Magufuli wetu!
Kujipa moyo ni kuzuri,kunapunguza magonjwa ya moyo na sukari,kuwafikia Kenya tusubiri labda miaka kumi na tano,uchumi haujengwi kwa maneno au daraja la kigamboni,uchumi unahitaji mipango sio kutumbua majipu kwenye TV kila siku,hao Ethiopia wenyewe hawajagusa hata nane pamoja na jitihada nyingi wanazofanya,mje nyie na majipu yenu eti mtafika 8 au 10
Inawezekana mkuudeficiency of glucose in the bloodstream
Inawezekana mkuu
Inawezekana mkuu
Ntakupa Mme bureNa tukigonga 8% utatoa nini? Ahidi hapa kila mtu akusikie!!!