Kenya Huwa wanatuzidi vipi kwenye uchumi Tanzania?

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
7,360
17,637
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.

Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida

Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.

Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
 
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Unasakaje mkate nchi yenyewe umasikini? Wewe huijui Kenya unaropoka tu
 
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Wanatuzidi kuongea kingereza na ubishi ujuaji ujuaji mwingi Lakini katika MILITARY tunawaacha km 120, Kilimo 120 , Viwanda Km 0, ELIMU 0 SANAA KM120, MPIRA KM50
 
Bidhaa nyingi tunazotumia tz zinatokana na viwanda vya kenya au vinasaba vya viwanda kenya. Mf blue band.

Watanganyika mmeng'ang'qnia mpira
Kweli Kenya wana viwanda vingi lakini watu wao wana shida mno
 
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa

Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba

Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua

Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond

Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao

CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo

Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno

Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk

Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania

Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Kenya wana Income Inequality kubwa sana kushinda Tanzania, matajiri wanacho sana na masikini hawana kabisa.
 
Back
Top Bottom