ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 7,360
- 17,637
Me sio mtaalam wa masuala ya uchumi.
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa
Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba
Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua
Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond
Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao
CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo
Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno
Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk
Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania
Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu
Nimetembea baadhi ya maeneo Kenya kwenye harakati za kuusaka mkate maeneo kama Kisii, Migori Mombasa na Nairobi na maeneo mengine kadhaa
Lakini nmegundua Kenya Kuna taabu sana, yaani maisha ni magumu, Wakenya wananuka shida
Miundo mbinu mibovu, Tanzania Lami hadi huko Tandahimba
Kenya Kuna njaa, Wakenya wanaokula sukuma wiki
Kenya Kuna ukame, Tanzania tuna mvua na vyakula bwerere.
Mahitaji muhimu kama chakula, malazi na mavazi Wakenya vinawasumbua
Kwenye kiwanda cha burundani, tumewapiga gap sana
Juzi walikuwa wanalia Kwa Diamond
Tanzania Kwa Sasa wasanii wanafanya vyema kwenye sinema wakenya hata sijui movie zao
CAF wamewanganya uenyeji wa CHAN mwakani, wamewapa Rwanda kwakuwa Kenya hawakuwa na viwanja vyenye viwango, lakini Tanzania viwanja vipo
Harakati za biashara Tanzania ni nyingi mfano tu pale Kariakoo ila Kenya pamepoa mno
Tanzania yenye kila kitu madini, mbuga, Kilimo nk
Utashangaa ukivuka border pale Sirari au Namanga kubadilisha pesa ndo utashangaa
Tunawapa Elfu 1 ya Kenya wanakupa 25,000 ya Tanzania
Yaani pesa kidogo ya Kenya huku unapewa burungutu