Kenya wanatikisika na hatujaanza hata kuhit 8% bado!

Kenya wanatikisika na hatujaanza hata kuhit 8% bado!

Kaka hebu fanya kazi tu na hasa iliyokupeleka huko kwa kuwa Tanzania haiendelei ili iipiku Kenya na hata kama itaipiku bhasi itakuwa ni impact tu za juhudi zetu.....

Ndugu zetu hawa wanatudharau sana lakini hii sio sababu tosha ya wewe kulifurahia hili kwa sababu mwisho wa siku utaonekana ni kama mtu anaelazimisha kitu ambacho hakiwezi kutokea...
By the way economic growth hiyo haina maana yoyote kwa MTU wa hali ya chini kwa kuwa hata sukari ni 6000...
 
MWENYE ENZI MUNGU ametufunguli TANZANIA ...amekumbuka mateso iliyopitia kukomboa AFRICA ..sasa ni wakati wa kuvuna...tuzidi kumwombea raisi wetu JOHN MAGUFULI..aendelee kuzidishiwa hekima na upendo kwa wananchi wake....MWENYE ENZI MUNGU ibariki TANZANIA NA WATU WAKE..na AFRICA
 
Sasa ni wazi labda kwa mara ya kwanza kabisa kwamba nchi ya Kenya pmj na maelite wake wanaingiwa na hofu na TanZania mpya, na hapa naongelea kiuchumi!
Hofu kubwa imetanda huko Kenya baada ya kuona jinsi nchi yetu inavyoanza kutoboa, na hapo ndiyo kwanza bado tunakuwa kwa ~7% vipi tukihit 8% na baadaye kidogo 10% si ndiyo watakufa kabisa!!

Chanzo ni mimi mwenyewe nilikuwa Nairobi hivi karibuni na huko maelite wote wamepoteza matumaini kabisa na Serikali yao (Kenya) na sasa huko mazungumzo ni kuhusu nchi yetu na Magufuli wetu!
Keep on dreaming brother....
 
Statistics.... kwa hapa bongo mhh wafanyakazi wenyewe waliozoea ku copy and paste, watafuta sifa waonekane wanafanya kazi wasitumbuliwe! Mimi nasubiri kuona mabadiliko huku mitaani kwenye familia zetu. Fanyeni kazi achaneni na porojo na kujipa matumaini na namba za kupikwa.
 
Kujipa moyo ni kuzuri,kunapunguza magonjwa ya moyo na sukari,kuwafikia Kenya tusubiri labda miaka kumi na tano,uchumi haujengwi kwa maneno au daraja la kigamboni,uchumi unahitaji mipango sio kutumbua majipu kwenye TV kila siku,hao Ethiopia wenyewe hawajagusa hata nane pamoja na jitihada nyingi wanazofanya,mje nyie na majipu yenu eti mtafika 8 au 10

Umempa miaka 5 kufikia Kenya Ni michache sana, Tuntengeneze Katiba ya Nchi kwanza tupunguze kutumia nguvu nyingi ili kila mmoja Ajue wajinga wake.
 
Kaka hebu fanya kazi tu na hasa iliyokupeleka huko kwa kuwa Tanzania haiendelei ili iipiku Kenya na hata kama itaipiku bhasi itakuwa ni impact tu za juhudi zetu.....

Ndugu zetu hawa wanatudharau sana lakini hii sio sababu tosha ya wewe kulifurahia hili kwa sababu mwisho wa siku utaonekana ni kama mtu anaelazimisha kitu ambacho hakiwezi kutokea...
By the way economic growth hiyo haina maana yoyote kwa MTU wa hali ya chini kwa kuwa hata sukari ni 6000...
Hapo umenena ukweli mtupu! Maana mambo ya hizi ni kama tu ya watu binafsi. Fanya unachokifanya kwa sababu unahitaji kukifanya na umekipangia kwa uadilifu wa kutosha na zaidi ya yote, unaweza gharama inayotukia. You need it and you can afford it. Ukinunua hiki ili uonekane kwamba uko vizuri kuliko yule jirani, na huku huna mtaji, ni ujinga mtupu!
Kwamba tunaishinda Kenya kwa jambo lolote, si hoja hapa ama pale!!! Cha umuhimu ni kwamba tunaendelea, period! Ni muhimu kila jirani wetu wafanye bidii nao pia ili na wao waanze ripoti positive za maendeleo, kama hivi Tanzania, Kenya na Ethiopia! Kwa sababu, hata viwanda vitakapoimarika, tutahitaji wateja wa bidhaa zetu.
Kwa hivyo basi, Kenya iendelee kivyao, Tanzania kivyao, na wengine pia kivyao, kwa maana, hii safari ni ndefu na itakuwa kitambo kabla tufike waliko Europe na Marekani!
 
Back
Top Bottom