KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 230
- 309
Mjadala mkali ulivuma wavuja jasho wa Tanzania wakiomba wakubwa waruhusu mahindi yauzwe nje lengo nono ikiwa Kenya, Sitaki nataka mwishowe wamekubali. Sasa kumbe Kenya wao njaa walishaizoea wamesema hawataki punje ya mhindi iingizwe nchini kwao kwakuwa wamejipanga kusaidia wakulima wao ili taifa lao lijitosholeze, but eti eti wana deficit kubwa ya hiyo nafaka.
My concern naomba mnijuze kosa ni wakubwa zetu kuchelewa ku take advantage ya soko ama ni muendelezo wa figisufigisu za vifaranga choma na Ng'ombe uza?
My concern naomba mnijuze kosa ni wakubwa zetu kuchelewa ku take advantage ya soko ama ni muendelezo wa figisufigisu za vifaranga choma na Ng'ombe uza?