Huu wimbo wenu sasa unachosa, think of another line.Mashamba yote ni ya wazungu ndio maana mnakufa na njaa. Wazungu wanalima maua, wanapata pesa, kwao chakula sio issue, hawawezi kufa njaa.
Hii ni chorus, tutairudia Tena na tenaHuu wimbo wenu sasa unachosa, think of another line
Mbona mna uhaba wa chakula?Wah! Hongera sana, jameni Wakenya tunapambana kweli sio mchezo na ndio maana tutaendelea kutawala na kumiliki uchumi wa EAC.
Mbona mna uhaba wa chakula?
Halafu mkipata hela ndio mnakuja kutuombaomba chakula sio?Tafuta mtu akupe darasa la nini maana ya kilimo biashara......kimsingi tunafidia huo uhaba kwa kununua chakula maana hela tunazo, tunatengeneza hela nyingi sana kutokana na kilimo biashara.
Halafu mkipata hela ndio mnakuja kutuombaomba chakula sio?
Halafu mkipata he'll ndio mnakuja kutuombaomba chakula sio?Tafuta mtu akupe darasa la nini maana ya kilimo biashara......kimsingi tunafidia huo uhaba kwa kununua chakula maana hela tunazo, tunatengeneza hela nyingi sana kutokana na kilimo biashara.
Hata Marekani masikini wapo, Tena wa kila rangiMwenye hela haombi maana ana jeuri, jaribu siku moja uende kwa kilabu ukiwa na hela za maana acha hizo za kuunga unga, uone aina ya jeuri ambayo mtu huwa nayo.
Huwa tunaagiza mahindi kutoka hadi Brazil, hususan mkizembea....
Halafu sijui nani kawaroga mpaka mpo maskini ilhali mna ardhi kubwa yenye uwezo wa kuwa bread basket ya Afrika....
Hebu ona mnavyoitia aibu Afrika, fuata huu uzi wa ndugu zako WB: Takribani nusu ya wanaoishi katika umasikini mkubwa chini ya Jangwa la Sahara wanapatikana kwenye nchi tano Tanzania ikiwemo
Halafu mkipata he'll ndio mnakuja kutuombaomba chakula sio?
Hata Marekani masikini wapo, Tena wa kila rangi
Mna miliki njaa tu na mtaimiliki sana 🤣🤣🤣🤣Wah! Hongera sana, jameni Wakenya tunapambana kweli sio mchezo na ndio maana tutaendelea kutawala na kumiliki uchumi wa EAC.
Kilimo Cha kujikimu Cha mazao ya chakula Tzn kimeishia kufukarisha wakulima yaani unazaliwa maskini unakufa maskini ,bila Wakenya tungekosa hata pa kuiga teknolojia ya kilimo na sokoTafuta mtu akupe darasa la nini maana ya kilimo biashara......kimsingi tunafidia huo uhaba kwa kununua chakula maana hela tunazo, tunatengeneza hela nyingi sana kutokana na kilimo biashara.
Sasa Kama watu wanachagua viongozi dizaini ya Jiwe anaenunulia mafukara ndege ,watu walioshindwa kupanda bajaji/daladala za jero unategemea nchi isiwe maskini? Nchi inakiongozi mwenye sera za ujima karne hii kutwa kugombana na majirani na mataifa yakiyoendelea unategemea nini?Mwenye hela haombi maana ana jeuri, jaribu siku moja uende kwa kilabu ukiwa na hela za maana acha hizo za kuunga unga, uone aina ya jeuri ambayo mtu huwa nayo.
Huwa tunaagiza mahindi kutoka hadi Brazil, hususan mkizembea....
Halafu sijui nani kawaroga mpaka mpo maskini ilhali mna ardhi kubwa yenye uwezo wa kuwa bread basket ya Afrika....
Hebu ona mnavyoitia aibu Afrika, fuata huu uzi wa ndugu zako WB: Takribani nusu ya wanaoishi katika umasikini mkubwa chini ya Jangwa la Sahara wanapatikana kwenye nchi tano Tanzania ikiwemo
Ardhi yetu mnaimezea mate nyie yenu si mliwapa wazungu na familia ya Kenyatta ndio maana mlijaribu kulobby swala la ardhi liingizwe East Africa halafu mnakuja kuoa wanawake wazee ili mpate uraia hatutaki manyang'au nchini mwetuMwenye hela haombi maana ana jeuri, jaribu siku moja uende kwa kilabu ukiwa na hela za maana acha hizo za kuunga unga, uone aina ya jeuri ambayo mtu huwa nayo.
Huwa tunaagiza mahindi kutoka hadi Brazil, hususan mkizembea....
Halafu sijui nani kawaroga mpaka mpo maskini ilhali mna ardhi kubwa yenye uwezo wa kuwa bread basket ya Afrika....
Hebu ona mnavyoitia aibu Afrika, fuata huu uzi wa ndugu zako WB: Takribani nusu ya wanaoishi katika umasikini mkubwa chini ya Jangwa la Sahara wanapatikana kwenye nchi tano Tanzania ikiwemo
Ardhi yetu mnaimezea mate nyie yenu si mliwapa wazungu na familia ya Kenyatta ndio maana mlijaribu kulobby swala la ardhi liingizwe East Africa halafu mnakuja kuoa wanawake wazee ili mpate uraia hatutaki manyang'au nchini mwetu
Nyinyi msingekuwa wazembe imekuwaje watu wanatoka ulaya wanamiliki ardhi yenu au familia.moja inamiliki ardhi kubwa. Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe.Tatizo mpo wazembe wa kutupwa, yaani kwa ardhi yote hiyo na mnatajwa kwenye mataifa yenye maskini wa kutupwa, sijui nani kawaroga, mumejaza omba omba huku Kenya hadi kero.
Nyinyi msingekuwa wazembe imekuwaje watu wanatoka ulaya wanamiliki ardhi yenu au familia.moja inamiliki ardhi kubwa. Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe.
Hivi nyinyi mnavyojipendekeza kwa wazungu hamjui namna gani mnaidhalilisha Afrika isitoshe hata wao wamewachoka ndio maana wakamtosa mgombea wenu wa WTOMnaitia Afrika aibu, mnashindwa na viinchi vidogo vidogo kama Kenya.