NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,942
- 19,017
Baada ya Binti wa Kibongo kutoa mada kwamba Wakenya hawajihusishi na nyuzi za mapenzi nimeanzisha huu uzi ili kuweka jukwaa la wanaotaka kupendana kutoka hizi nchi mbili. Haya twende........