Wakuu.
Kwenye top five investors wa Tanzania wakenya wapo, naomba mahusiano yetu kibiashara yaimarishwe kwani umuhimu wa kenya na tanzania kwenye biashara ni mkubwa sana kuliko nchi yoyote afrika mashariki, kenya ndio watu tunaofanya nao biashara za uhakika hivo diplomasia itumike na sio mabavu.
Kwenye top five investors wa Tanzania wakenya wapo, naomba mahusiano yetu kibiashara yaimarishwe kwani umuhimu wa kenya na tanzania kwenye biashara ni mkubwa sana kuliko nchi yoyote afrika mashariki, kenya ndio watu tunaofanya nao biashara za uhakika hivo diplomasia itumike na sio mabavu.