Kenya: Mwanamke aliekula hela ya nauli na kuzima simu ahukumiwa na mahakama

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,838
38,729
Wale wala nauli na kuzima simu mjiandae sasa.
IMG-20240212-WA0003.jpg


Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
I like it!


Kuliko kuweka picha ya sa100 kwenye note bora hii sheria itungwe na ipitishwe ianze kazi mara moja.

Ajira hakuna kijana anajibana anabet akimpiga mhindi kidogo anaamua apoze machungu kwa kuifurahisha nafsi anatuma nauli dem nae anakula nauli haendi getto inauma basi tu!

Maisha magum afu mwingine anakula nauli sijui aliomba atumiwe ili ale na akija getto njaa mingi!
 
Back
Top Bottom