Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,136
Kama amekosea kwa nini nisimsahihishe?Hata kiswahili pia unamkosoa? Basi mna yenu mm sipo....
Ila hili sio jukwaa la lugha.
Kama amekosea kwa nini nisimsahihishe?Hata kiswahili pia unamkosoa? Basi mna yenu mm sipo....
Ila hili sio jukwaa la lugha.
RipMGONJWA WA KWANZA WA CORONA AFARIKI KENYA
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya #Corona, mgonjwa huyo wa kiume alikuwa na umri wa miaka 66 na alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kisukari amefariki mchana wa leo katika Hospitali ya Agha Khan.
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.
Mwathiriwa huyo ambaye ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 66 aliaga dunia nyakati za mchana katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Agha Khan ambako alikua amelazwa.
Raia huyo ambaye alikua akiugua ugonjwa wa kisukari alikuwa amewasili nchini tarehe 13 mwezi Machi kutoka Afrika Kusini kupitia Swaziland.
Katika taarifa yake iliotiwa saini na waziri wa Afya Mutahi Kagwe, serikali ilisema kwamba ilipokea kwa huzuni habari za kifo cha Mkenya huyo ambaye alikuwa amekutwa na virusi hivyo baada ya kupimwa
View attachment 1400131
Wapi? Acha kujifanya mjuaji....Kuna mahali tena umekosoa na wakakukosoa pia....
Tutoke huko. Tuchangie japo kuelimishana kuhisu hili janga.Wapi?
kuhisu=kuhusu.Tutoke huko. Tuchangie japo kuelimishana kuhisu hili janga.
Amekosea lugha ama ujumbe umekosewa na haueleweki? Iama ni lugha basi wengi wanakosea. Ila ujumbe unaeleweka. Lugha sio sababu kubwa sana tuijadili maana kwenye lugha hakuna aliekuwa perfect sana.Kama amekosea kwa nini nisimsahihishe?
Nashukurukuhisu=kuhusu.
keep it up. pole pole utamakinika.So you still believe to verbalize in English delineates ones quintessential intelligence? That's why I said you are worse than savages.
Kiiengereza=Kiingereza.
Kwa nini sio kwanini. Hayo ni maneno mawili tofauti. Usijifanye mjuaji....Mbona wewe umeandika kwa nini badala ya kwanini
Shehe ujuaji kwenye kitu gani? Aah haya bana wewe zaidi yetu. Uuu mjuvi wa kila jambo.Wapi? Acha kujifanya mjuaji.
Bullshit.keep it up. pole pole utamakinika.
kwa hio unataka kuchukua nafasi ya yule mama wa Al-Shaabab au vipi?kuhisu=kuhusu.
Tulia wewe.Shehe ujuaji kwenye kitu gani? Aah haya bana wewe zaidi yetu. Uuu mjuvi wa kila jambo.
Ume-panic?Bullshit.
Usijifanye mjanja. Umenisikia wewe nyang'au?Ume-panic?
nilidhani Tanzania chakula ki'tele, kumbe munahofia njaa?Kiukweli lockdown...inaogopesha...maana ni mawili...
Tufe kwa njaa au tufe kwa CORONA.
Maskini tutaumia SANA...wale tuliozoea kupima unga nusu na robo...
Everyday is Saturday.......................
sawa boya.Usijifanye mjanja. Umenisikia wewe nyang'au?
Haikusaidii kitu.sawa boya.
English pls....Haikusaidii kitu.
Why?English pls....