misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Mama kasema tusiwe washindani kwasababu wote ni majirani, sijajua mama ana ugeni na VITIMBI vya wakenya auKwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.