Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Tutawafanyia figisu la mama wa kambo mpaka wataiona Tanzania chungu
Na ni kweli wakenya wana dharau. Wanajiona watu bora wakiwa na mbongo ( superiority complex ).

Na kwasababu na sisi siku zote huwa tunajiona weak mbele zao, wanatumia nafasi hiyo kukuumiza.

Nobody can make you inferior without your consent.

Hii hali ya kunyanyaswa na kudharauliwa unaweza kuiruhusu wewe mwenyewe.
 
Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
  • Sheria kandamizi
  • siasa chafu
  • ulimbukeni wa viongozi
  • visasi
  • wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hamna cha ujasusi wala nini.
Hapa pana ukweli wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nimefanya kazi na wakenya.

Wana strength zao na weakness zao lakini siyo kwamba hatuwaezi.

Tuachane na hii inferiority complex.

Imagine, bongo fleva ime take over Kenya na kila wanavyojaribu kujinasua imeshindikana, kwanini tuwaogope kwa vitu vingine?

Ukiachana na uthubutu na kuongea kiingereza Wakenya hawana jipya.

Hivi kama tukiwaogopa wakenya, wanigeria tutawaweza?

Kama ni rushwa, hakuna mabingwa wa rushwa kama wachina na wahindi ila tunaishi nao humu humu.
Yap....hayo ndio maneno. Sio woga tu kila siku toka miaka na miaka. Na kwanza tumewazidi vitu vingi tu.

Hata tukiamua hapo kwenye mahindi na michele.....hili soko la eac na congo ni kubwa vya kutosha. Watakuwa tegemezi kwetu kwa chakula. Tuna mito, maziwa na ardhi kubwa na nzuri. Tunakwama wapi mpaka tuanze kuwalaumu/kuwaogopa wakenya?
 
Ninawaza kuajiri mkenya Kama business manager/ farm manager wangu..

Watanzania ukiwaajiri wanaangalia Leo...hawazingatii kazi mfano hawalishi wanyama..hawafanyi usafi mabandani..hawaxhomi sindano ...wanaiba vyakula na vifaa Tiba vya wanyama....hawaamini katika matokeo.....hawajali kama.mnyama anannenepa au hanenepi...

Uko ofisini unawaza kama nguruwe wamelishwa na maji wamepewa....

Inaongeza huduma shambani wanyama wanazidi kujikondea

Mbongo nae sio mtu dah
 
Ninawaza kuajiri mkenya Kama business manager/ farm manager wangu..

Watanzania ukiwaajiri wanaangalia Leo...hawazingatii kazi mfano hawalishi wanyama..hawafanyi usafi mabandani..hawaxhomi sindano ...wanaiba vyakula na vifaa Tiba vya wanyama....hawaamini katika matokeo.....hawajali kama.mnyama anannenepa au hanenepi...

Uko ofisini unawaza kama nguruwe wamelishwa na maji wamepewa....

Inaongeza huduma shambani wanyama wanazidi kujikondea

Mbongo nae sio mtu dah
Wewe unatumiwa na Kenya ili kuonesha watanzania ni wavivu.
 
Back
Top Bottom