Nyamambara
JF-Expert Member
- Jan 11, 2021
- 407
- 329
chadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Rais Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.Binafsi naona Rais Samia anapambana na UZEMBE NA RUSHWA kuliko marais wote waliopata kuiongoza Tanzania.