Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kipindi ndugu Magufuli alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar alijitahidi Sana kuwekeza kwenye miundombinu hasa katika Jiji la DSM sahau kidogo kuhusu mikia mingine.

Alielewa ili kuwa na fursa za kiuchumi mji pia inatakiwa uwe na connection (Barabara) za kutosha na pia sent kupendeza kwa Kasi Ile wakenya walishtuka na kupagawa Sana na ndio ikawa sababu ya kutanua Barabara yao iitwayo Mombasa road nakwmabia Sasa Ile Barabara imekamilika yaan inavutia na kurahisisha shughuli za kiuchumi.(Nukwambie hii Barabara n nzuri Sana yaan acha tuu) wachasie tukomae na SGR yetu.

Pia nikisema mtu mmoja mmoja Kati ya mtanzania na mkenya n hv mkenya ana adabu na kile anachoingiza Yan Kama haina maslahi hajigusi tofaut na mtanzania yeye huwa Hana mahesabu yupo tayari akaamue ugomvi wa mtu ambae hamjui na kupoteza hata shilingi yake kwenye hui ugomvi.


Jiji la Nairobi saa 11 asubuhi Barabara zote zinazoingia huo mji huwa Zina foleni hii inamaanisha Wana adabu na shughuli wanazozifanya kifupi mkenya kuanzia kutembea, kujenga hoja na self confidence wanayokubwa mno kuliko watanzania.

Taifa la Tanzania linaweza tuu kutumia Uaminifu wake, ukubwa wake, rasilimali zake, Geographical position iliyonayo pamoja na watanzania wachache wanaojielewa wanaiacha Kenya mbali sana.


Mpaka Sasa Tanzania Ni tishio kwa Taifa la Kenya Kiusalama, Uchumi na Uhai.
 
Mwaka juzi wa 2019 Mwezi November, JF Member My Son drink water aliwahi kusema kwamba "Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
==========
Habari zenu waungwana wa jamiiforums

SEPTEMBER 28, 2018: Vodacom Tanzania said on Friday the government had denied its incoming chief executive officer, a Kenyan, a work permit, and it would have to restart the recruitment process.

In April, Vodacom Tanzania named Sylvia Mulinge, at the time head of business at Kenya's biggest telecoms operator Safaricom to the post. She was meant to take up her position on June 1.
==========
==========

HOJA YANGU: Kwani kama mtu alikuchangia USD 300 katika maandalizi ya harusi yako ni lazima na wewe umpe kiasi hicho hicho cha pesa yeye atakapokuwa anajiandaa kuoa/kuolewa?

Kwani kitendo cha Rais Uhuru Kenyatta kufuta work permits pamoja na Business Visas ni lazima kiwe nipe nikupe (quid pro quo) kwa taifa kubwa la Tanzania? Kuna ulazima wowote wa Tanzania nayo kufuta vibali hivyo kwa raia wa Kenya?
==========
==========
Baada ya Rais Kenyatta kufuta documents kwa wafanyakazi wa Tanzania ndio ninakumbuka maneno yaliyopo humu humu JF ya member mmoja anayetumia jina la My Son drink water kwamba;

"65% ya viwanda vilivyokufa Tanzania vilikuja kufufukia Kenya, tafsiri yake ni kwamba, Usalama wa Taifa wa Kenya, KNIA walifanya yao huku TISS yetu ikiwa imelala, na Kiwanda cha mwisho kuhamia Kenya ni cha General Tyres, yaani ajira zinakufa Tanzania kisha zinawafufukia Wakenya. Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
View attachment 1778801
==========
SWALI: Tutegemee "Sylvia Mulinge" wa Safaricom kurudi kuwa CEO wa Vodacom endapo Tanzania itafuta work permits pamoja na Business Visas kwa raia wa Kenya?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nakubaliana kwa kiasi kikubwa cha hoja yako, na pia nimeliona hili la Uganda Tanga bomba la mafuta nilipoona wanaharakati za kimazingira wa Kenya kule Paris wanaandamana kupinga bomba hilo kujengwa mara linaibukia bunge la Ulaya mara sarakasi hizi. Nimefurahi sana msimamo wa Rias Museveni ila sijasikia serikali ya TZ inalishuhulikiaje jambo hili hii ni vita vya kiuchumi ila TZ tuamke. Kenya hinks they are smarter than us. Rais Mama yetu Samia should understand this.
 
Nakubaliana kwa kiasi kikubwa cha hoja yako, na pia nimeliona hili la Uganda Tanga bomba la mafuta nilipoona wanaharakati za kimazingira wa Kenya kule Paris wanaandamana kupinga bomba hilo kujengwa mara linaibukia bunge la Ulaya mara sarakasi hizi. Nimefurahi sana msimamo wa Rias Museveni ila sijasikia serikali ya TZ inalishuhulikiaje jambo hili hii ni vita vya kiuchumi ila TZ tuamke. Kenya hinks they are smarter than us. Rais Mama yetu Samia should understand this.
Hayati alipambana sana kuhusu ili bomba na nakumbuka SHOW,hayati aliyowafanyia Wakenya pale TANGA siku ya majadiliano ya kusaini mkataba.
 
Sawa. Ila ni mzunguko mrefu sana mkuu
Lkn hauchoshi! km ule mzunguko wa Mwanza/Dsm! siku hizi ki-usalama lazima mlale njiani ! mfano zamani kidogo ukiondoka, alfajili DSM utafika Mwanza saa sita usiku! hapo lazima ulale Mwanza ili uanze safari kesho yake!

Lkn ukitoka DSM na Akamba alfajili, via Nairobi utaenda moja kwa moja mpaka Sirari au Tarime kabisa hapo si umefika home! kenya rukhsa kusafiri usiku ni salama sana! utakula utakunywa vizuri!usiku km mchana!

safari zote hizi ziko umbali sawa! ile lutoka DSM to Nairobi via Arusha ndo sawa na umbali uleule wa kutokea shinyanga kwenda Musoma!
Umbali wakutoka DSM toTabora! ni sambamba kabisa na kutoka Nairobi to Sirari! ila ule wa kenya ni uhakika faster na salama na raha zaidi! hkn wasiwasi! km mkipata dharula njiani haichukui nusu saa gari nyingine hilooo faster tu!

Ma Bus ya Bongo uswahili! swahili na ujanja mwingii!!......abood huyohuyo!! ukienda kata ticket watakwambia wanaenda LKN umeliwa! hawaendi!...labda km wamebadirika!
 
Lkn hauchoshi! km ule mzunguko wa Mwanza/Dsm! siku hizi ki-usalama lazima mlale njiani ! mfano zamani kidogo ukiondoka, alfajili DSM utafika Mwanza saa sita usiku! hapo lazima ulale Mwanza ili uanze safari kesho yake!

Lkn ukitoka DSM na Akamba alfajili, via Nairobi utaenda moja kwa moja mpaka Sirari au Tarime kabisa hapo si umefika home! kenya rukhsa kusafiri usiku ni salama sana! utakula utakunywa vizuri!usiku km mchana!

safari zote hizi ziko umbali sawa! ile lutoka DSM to Nairobi via Arusha ndo sawa na umbali uleule wa kutokea shinyanga kwenda Musoma!
Umbali wakutoka DSM toTabora! ni sambamba kabisa na kutoka Nairobi to Sirari! ila ule wa kenya ni uhakika faster na salama na raha zaidi! hkn wasiwasi! km mkipata dharula njiani haichukui nusu saa gari nyingine hilooo faster tu!

Ma Bus ya Bongo uswahili! swahili na ujanja mwingii!!......abood huyohuyo!! ukienda kata ticket watakwambia wanaenda LKN umeliwa! hawaendi!...labda km wamebadirika!
Sawa mkuu
 
Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
  • Sheria kandamizi
  • siasa chafu
  • ulimbukeni wa viongozi
  • visasi
  • wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hamna cha ujasusi wala nini.
Mhhh
 
Nakubaliana kwa kiasi kikubwa cha hoja yako, na pia nimeliona hili la Uganda Tanga bomba la mafuta nilipoona wanaharakati za kimazingira wa Kenya kule Paris wanaandamana kupinga bomba hilo kujengwa mara linaibukia bunge la Ulaya mara sarakasi hizi. Nimefurahi sana msimamo wa Rias Museveni ila sijasikia serikali ya TZ inalishuhulikiaje jambo hili hii ni vita vya kiuchumi ila TZ tuamke. Kenya hinks they are smarter than us. Rais Mama yetu Samia should understand this.
Wale jamaa ni wajanja wajanja sana
 
Mwaka juzi wa 2019 Mwezi November, JF Member My Son drink water aliwahi kusema kwamba "Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
==========
Habari zenu waungwana wa jamiiforums

SEPTEMBER 28, 2018: Vodacom Tanzania said on Friday the government had denied its incoming chief executive officer, a Kenyan, a work permit, and it would have to restart the recruitment process.

In April, Vodacom Tanzania named Sylvia Mulinge, at the time head of business at Kenya's biggest telecoms operator Safaricom to the post. She was meant to take up her position on June 1.
==========
==========

HOJA YANGU: Kwani kama mtu alikuchangia USD 300 katika maandalizi ya harusi yako ni lazima na wewe umpe kiasi hicho hicho cha pesa yeye atakapokuwa anajiandaa kuoa/kuolewa?

Kwani kitendo cha Rais Uhuru Kenyatta kufuta work permits pamoja na Business Visas ni lazima kiwe nipe nikupe (quid pro quo) kwa taifa kubwa la Tanzania? Kuna ulazima wowote wa Tanzania nayo kufuta vibali hivyo kwa raia wa Kenya?
==========
==========
Baada ya Rais Kenyatta kufuta documents kwa wafanyakazi wa Tanzania ndio ninakumbuka maneno yaliyopo humu humu JF ya member mmoja anayetumia jina la My Son drink water kwamba;

"65% ya viwanda vilivyokufa Tanzania vilikuja kufufukia Kenya, tafsiri yake ni kwamba, Usalama wa Taifa wa Kenya, KNIA walifanya yao huku TISS yetu ikiwa imelala, na Kiwanda cha mwisho kuhamia Kenya ni cha General Tyres, yaani ajira zinakufa Tanzania kisha zinawafufukia Wakenya. Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
View attachment 1778801
==========
SWALI: Tutegemee "Sylvia Mulinge" wa Safaricom kurudi kuwa CEO wa Vodacom endapo Tanzania itafuta work permits pamoja na Business Visas kwa raia wa Kenya?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wanaolipwa mishahara ili kutimiza azma ya kulisaidia Taifa badala ya kudeal na ujasusi wa kiuchumi wao wana deal na wapinzani inafikirisha inahuzunisha hadi unajiuliza kwanini wasiombe msaada bila malipo kwa Watanzania wazalendo wenye uwezo kielemu ikiwa wao wameshindwa.
 
Wanaolipwa mishahara ili kutimiza azma ya kulisaidia Taifa badala ya kudeal na ujasusi wa kiuchumi wao wana deal na wapinzani inafikirisha inahuzunisha hadi unajiuliza kwanini wasiombe msaada bila malipo kwa Watanzania wazalendo wenye uwezo kielemu ikiwa wao wameshindwa.
Hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom