Kenge kwenye msafara wa mamba usijinyong'onyeshe

Kenge kwenye msafara wa mamba usijinyong'onyeshe

Daraja2

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
285
Reaction score
346
Habarini za jioni hii,

Wakati majina yakitangazwa "mubashara" kulikuwa Kama na maelekezo ya Moja kwa Moja kwa wajumbe kumpitisha "mlengwa" katika kiti husika.

Rejea "waliopitishwa Jimbo fulani wako 7 akiwemo fulani (jina la muhusika).

USHAURI;
Wewe ambaye bado ni mdogo kiumri jipange kisawa sawa (kisera) usikate tamaa mapema kwani mambo bado ni bila bila 😂😁🤣 !!!

Hallo ! Hallo ! wewe ni nani ........!!!!!??

Sm zimeanza kuingia................subirini kidogo,
 
Back
Top Bottom