Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,800
Kwa Mengi ni kama chuo cha experience anaondoka mtu anakuja mtu na wala hawatetelekiNajiulizaga sana, hvi East Africa Radio hawalipi vizuri? Au ukiwa pale majungu mengi? Au meneja vipindi au mkurugenz hana uelewa wa kazi yake? Miaka nenda miaka rudi East Africa radio wanakuwa na watangazaj/dj's wazuri and then huwa hawakai na wanaondoka mfano, Dj Mafuvu, seba (yupo choice fm) George Bantu, Kenedy,Mamy (clouds )