MR MD BONIFACE
Member
- Oct 25, 2017
- 34
- 32
ni kweli inatokea sababu bank haina engineering people wanaweza detect wizi ukitokea. CRDB iko overloaded sana , staff wako na massive client ku handle na wako na burn out kubwa sana . miundo mbinu hakuwa design handle huge traffic katika categories tofauti. ni fursa kwa skilled people deal na hizi mambo . hizi ndoo kazi hazitaki kujuana na tatizo jingine expert tz hawakupi pesa nzuri .sasa usikie kenya wanalipa vizuri why uendelee kuwepo hapo.BOT pia haina enough expertise ku deal na hizi mambo maana lawama zote zinaishia kwao kama mamlaka ya mwisho.