Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
naona jamaa alikuwa anavua samaki...!hadi willi alikuwepo
View attachment 53390
naona jamaa alikuwa anavua samaki...!hadi willi alikuwepo
View attachment 53390
iliyoandaliwa na Baby Girl Shy Rose
Hii rangi ya ccm hata siku nikiwa mfu mkanifunika na rangi hiyo lazima niamke nitimue mbio.
Kukataa keki kwa kuwa ina rangi ya CCM ni ushamba na ujinga, hapo ndipo inapoonesha tuna mibunge mijinga kutoka upinzani, waikatae na bendera ya Tanzania ime sheheni rangi za CCM.
Waweke yenye rangi ya chadema waone watu waliostaarabika, wataila na kama nzuri wataisifia.
Hahahahahahahahaha!
Le Mutuz kwenye mnuso!
Mi nmehama yanga kwa ajili ya rngi hizo
hadi willi alikuwepo
View attachment 53390
kumbe shyrose ni mhindi asilia maana naona ubao umenyooka kwelikweli huko nyuma...
hadi willi alikuwepo
View attachment 53390