Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?