Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

Mao Tse Tung alikuwa kiongozi wa China ambaye wananchi wa China na hususan wanachama wa Chama cha Ukomunisti cha China walimfanya kama mungu mtu.

Kitu kikiitwa "Maoist" kinasemwa kuwa na falsafa na muonekano wa kushabihiana na mambo ya Mao.

Hapo nilisema kwamba ACT inamfanya Zitto kuwa kama Mao wao, mungu mtu fulani ambaye anaabudiwa, sio kiongozi wa kawaida wa chama.

Hawa ACT ni Social Democrats au Maoists?

Ayatollah: Zitto Khamenei Zuberi Kabwe.............ACT Supreme Leader
 
Mimi nadhani bado sana tunajifunza siasa na ndio maana hushindwa kujielewa inapofika katika kugawana majukumu. Tumeendeleza mfumo wa chama kuwa na wenyewe badala ya chama kuwa ni wanachama. Mara zote chama kinapomteua Kiongozi huwa ni yule anayegombea Urais, ni sauti ya chama kiitikadi na kisera kwa wananchi - Communicate to the public. Na Mwenyekiti kazi zake ni ku manage na kukiimarisha chama nchini. Lakini ndio Umaskini wetu ulivyo, daktari mmoja anatibu magonjwa yote!
 
Zitto Zuberi Kabwe ni

1. Kiongozi Mkuu wa chama kwenye mikutano mikuu ya chama Taifa, mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu
2. Mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote (Akiwemo Mwenyekiti) na maafisa wa ACT-Tanzania.
3. Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii
4. Mtoa tamko (Katibu Mwenezi) rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama
5. Mtoa habari mahususi kwenye mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa.
6. Msimamzi wa Mafunzo na Mtoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT-Tanzania
7. Ndiye Kiongozi Mkuu wa Chama.
8. Ni NURU na TASWIRA ya ACT-Tanzania

That is Zitto Zuberi Kabwe. Najiuliza Huyu Mzalendo haya Mavyeo atayaeza yote kweli?

Mytake.

Aidha Zitto Kabwe hapendi Kuongozwa ama ACT hawaamini kama wanayaweza Majukumu yao ndio Maana wamebadilisha Katiba siku ya Mkutano ili Kukidhi Matakwa yake.
Katiba hiyo haitadumu au chama hakitadumu ikiwa Katiba itaendelea kuwa hivyo. Nimemsikiliza Prof Mkumbo alijaribu kalielezea hili lakini kila mwenye akili aliona hajafanikiwa.
 
Mimi nadhani bado sana tunajifunza siasa na ndio maana hushindwa kujielewa inapofika katika kugawana majukumu. Tumeendeleza mfumo wa chama kuwa na wenyewe badala ya chama kuwa ni wanachama. Mara zote chama kinapomteua Kiongozi huwa ni yule anayegombea Urais, ni sauti ya chama kiitikadi na kisera kwa wananchi - Communicate to the public. Na Mwenyekiti kazi zake ni ku manage na kukiimarisha chama nchini. Lakini ndio Umaskini wetu ulivyo, daktari mmoja anatibu magonjwa yote!
Sijakuelewa! Ina maana mwenyekiti wa chama hana ruhusa kugombea urais?
 
Mimi nadhani bado sana tunajifunza siasa na ndio maana hushindwa kujielewa inapofika katika kugawana majukumu. Tumeendeleza mfumo wa chama kuwa na wenyewe badala ya chama kuwa ni wanachama. Mara zote chama kinapomteua Kiongozi huwa ni yule anayegombea Urais, ni sauti ya chama kiitikadi na kisera kwa wananchi - Communicate to the public. Na Mwenyekiti kazi zake ni ku manage na kukiimarisha chama nchini. Lakini ndio Umaskini wetu ulivyo, daktari mmoja anatibu magonjwa yote!

Ina maana huyu Mkuu ndio anaandaliwa kuwa Mgombea Urais? How? Maana umri utakuwa bado This year.
 
Sijakuelewa! Ina maana mwenyekiti wa chama hana ruhusa kugombea urais?
Sijasema hivo nilichosema ni ktk kugawana majukumu ya Chama na Kitaifa. Mwenyekiti huwa na jukumu kubwa la kusimamia chama wakati kiongozi huwa ni sura na sauti ya chama kwa wananchi wote, ni mgombea Urais na mwenye jukumu la kuwasiliana na wananchi kuhusu Utawala wa nchi. Hukoma uongozi pale anapochaguliwa mgombea mwingine. Hivyo Kiongozi hujikita katika maswala ya Kitaifa na Mwenyekiti ktk maswala ya chama.
- Konda anaweza pia kuwa na liseni ya Udereva lakini sio mamlaka yake kuendesha gari wakati akiwa Konda.
 
Yote kwa yote je jina lako limeandikwa kwenye BVR au tumenaki kwenye USHABIKI TU...../////,,,
 
Sijasema hivo nilichosema ni ktk kugawana majukumu ya Chama na Kitaifa. Mwenyekiti huwa na jukumu kubwa la kusimamia chama wakati kiongozi huwa ni sura na sauti ya chama kwa wananchi wote, ni mgombea Urais na mwenye jukumu la kuwasiliana na wananchi kuhusu Utawala wa nchi. Hukoma uongozi pale anapochaguliwa mgombea mwingine. Hivyo Kiongozi hujikita katika maswala ya Kitaifa na Mwenyekiti ktk maswala ya chama.
- Konda anaweza pia kuwa na liseni ya Udereva lakini sio mamlaka yake kuendesha gari wakati akiwa Konda.

Mkuu Mkandara ACT Mwaka huu 2015 watasimamisha Mgombea Urais?
 
Last edited by a moderator:
Sijasema hivo nilichosema ni ktk kugawana majukumu ya Chama na Kitaifa. Mwenyekiti huwa na jukumu kubwa la kusimamia chama wakati kiongozi huwa ni sura na sauti ya chama kwa wananchi wote, ni mgombea Urais na mwenye jukumu la kuwasiliana na wananchi kuhusu Utawala wa nchi. Hukoma uongozi pale anapochaguliwa mgombea mwingine. Hivyo Kiongozi hujikita katika maswala ya Kitaifa na Mwenyekiti ktk maswala ya chama.
- Konda anaweza pia kuwa na liseni ya Udereva lakini sio mamlaka yake kuendesha gari wakati akiwa Konda.
Kwa hiyo kwa mujibu wa katiba ya namna hiyo ukichaguliwa kuwa kiongozi ni 'automatic' choice ya kugombea urais wa Dola? Lakini pia kama kweli yaliyoorodheshwa ndani ya mtandao huu, kiongozi ndiyo anaye fanya majukumu na mamlaka uliyoyasema ya Mwenyekiti - kusimamia taasisi za juu za chama ikiwemo mkutano mkuu, Halmashauri Kuu n.k. Ingawa sijaona majukumu ya Mwenyekiti yaliyoorodheshwa ndani ya katiba lakini inaonekana kama atakuwa ndiyo katibu mkuu - mtendaji!
 
Kwa hiyo kwa mujibu wa katiba ya namna hiyo ukichaguliwa kuwa kiongozi ni 'automatic' choice ya kugombea urais wa Dola? Lakini pia kama kweli yaliyoorodheshwa ndani ya mtandao huu, kiongozi ndiyo anaye fanya majukumu na mamlaka uliyoyasema ya Mwenyekiti - kusimamia taasisi za juu za chama ikiwemo mkutano mkuu, Halmashauri Kuu n.k. Ingawa sijaona majukumu ya Mwenyekiti yaliyoorodheshwa ndani ya katiba lakini inaonekana kama atakuwa ndiyo katibu mkuu - mtendaji!
Mara nyingi Kiongozi ni mgombea Urais ina maana Dr.Slaa ndiye angekuwa kiongozi wa Chadema hadi mwaka 2015 atakapochaguliwa mwingine kusimama. Mwenyekiti ni Mbowe na sii vizuri Mwenyekiti awe mgombea Urais inabidi ajivue cheo hicho kwanza ili apatikane mwenyekiti mwingine kushika nafasi hiyo.
 
Mara nyingi Kiongozi ni mgombea Urais ina maana Dr.Slaa ndiye angekuwa kiongozi wa Chadema hadi mwaka 2015 atakapochaguliwa mwingine kusimama. Mwenyekiti ni Mbowe na sii vizuri Mwenyekiti awe mgombea Urais inabidi ajivue cheo hicho kwanza ili apatikane mwenyekiti mwingine kushika nafasi hiyo.
I can just wish you well if it works. It looks in the case of ACT Zitto is already an automatic candidate to the Presidency! You will be lucky if you have a number of aspirants to the position within the party to remain peaceful -or when the chairman is also eyeing for the position.
 
I can just wish you well if it works. It looks in the case of ACT Zitto is already an automatic candidate to the Presidency! You will be lucky if you have a number of aspirants to the position within the party to remain peaceful -or when the chairman is also eyeing for the position.
Wish me well in what sense! mkuu zungumza lugha yetu unahofia nini? nichambe inapowezekana sio kunitia vidole watu wote wakusome..
 
I can just wish you well if it works. It looks in the case of ACT Zitto is already an automatic candidate to the Presidency! You will be lucky if you have a number of aspirants to the position within the party to remain peaceful -or when the chairman is also eyeing for the position.

What if asipogombea kwa sababu hakidhi vigezo (Umri) ACT haitasimamisha Mgombea Urais? na Kama itasimamisha Zitto atajiuzulu Ukuu wa Chama?
 
Mimi nadhani bado sana tunajifunza siasa na ndio maana hushindwa kujielewa inapofika katika kugawana majukumu. Tumeendeleza mfumo wa chama kuwa na wenyewe badala ya chama kuwa ni wanachama. Mara zote chama kinapomteua Kiongozi huwa ni yule anayegombea Urais, ni sauti ya chama kiitikadi na kisera kwa wananchi - Communicate to the public. Na Mwenyekiti kazi zake ni ku manage na kukiimarisha chama nchini. Lakini ndio Umaskini wetu ulivyo, daktari mmoja anatibu magonjwa yote!

Habari za siku Mkandara . Umesema kisomi mno na vijana wetu wengi hapa JF are not great thinkers ni washabiki na wanatoka shule za Kata . Mkuu rejea bandiko lako tena kwa lugha nyepesi watu waelewe uwasaidie.
 
Back
Top Bottom