Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 7,472
- 14,168
Anapost sana nafasi za kazi humuAnazo kazi uhakika mkuu??
Anapost sana nafasi za kazi humuAnazo kazi uhakika mkuu??
Sawa mkuu ngoja nimtafuteAnapost sana nafasi za kazi humu
Kama unawez kuzungusha kiuno kikatoa upepo unsowez kukausha jasho au kuzima mishumaa njoo imbox
Asiseme zote kwani Inategemea na kazi yenyewe!!
Kaka naweza aiseKuna cargo ya kushusha semi za cement kwenye warehouse flani,semi ziko 6 utaweza mkuu?