mchapa
Member
- Oct 21, 2012
- 20
- 16
Wakuu naomba msaada ktk hili,nikiwa chuo miaka miwili iliopita nlikua na gf wangu ambaye nliamini ndo atakua wife kwn tulikua pamoja toka nikiwa o levo na tulipendana sana kwa miaka yote hiyo,shida ilianza baada ya kumaliza chuo coz ilikua ngumu sana kupata kazi kiasi gf akaanza kuchoka na hadith za kutafuta kazi,mbaya zaidi kwao walianza kulazimisha tuoane,sikua na jinsi pale mpenzi aliponiambia anahitaji kuolewa na ndo ikawa mwisho wetu.mwaka jana mwishoni nlibahatika kupata kazi nzuri tu ktk moja ya migodi ya barrick,ni muda sasa nimekua nikitafuta msichana ambaye ni wife material ili nimuweke ktk njia ya kua mke tatizo ni kwamba siwaoni hata wako wapi maana nakaa mgodi wik 6 natoka nje 3 nabakia kukutana tu wajanja wa mjini ambao nahisi kabisa wanacheki ujazo wa pochi na kibaya zaidi yule du wa zamani nae anasumbua sana hadi nahisi kupata hisia juu yake ingawa sihitaji kufanya hivyo,naomba ushauri wenu ntampata vp mke wa kweli maana siku nazo zinazidi sogea am27 now?