Gentleman P
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 370
- 453
- Thread starter
- #81
Naomba ufungue uzi wa hiyo elimu ya Saikolojia. Unapoandika theory zako kwenye mada yangu tena personal, you are frankly attacking me.thats why wanasaikolojia wanakuambia its better kuoa/kuolewa mkiwa katika hali duni lakin upendo kati yenu uwepo kwani harufu ya mendeleo kwenu iko karibu na muda wa kuishi kwenu unakuwa na GUARANTEE kuliko wenye fedha lakini hawana upendo wala furaha ni utumwa