Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,757
- 18,594
Au kuna watu walikuvunja moyo nini? Hakuna kukata tamaa, endelea kutafuta mummy!! Utapatwa tu.Siitaji mkuu
Au kuna watu walikuvunja moyo nini? Hakuna kukata tamaa, endelea kutafuta mummy!! Utapatwa tu.Siitaji mkuu
Hahaaaaa not to that extent!!Hahaaaa. Wanasemaga utandawazi Bro.
Wala kitaani wapo kubaoAu kuna watu walikuvunja moyo nini? Hakuna kukata tamaa, endelea kutafuta mummy!! Utapatwa tu.
Ninakuunga mkono kwa hicho kigezo cha elimu.Kuwa na Diploma napo ni usomi? it's now a Basic for mid-life citizens. Ndio maana nimekuwa clear mkuu, sio kwambanataka msomi. Diploma au degree maana yake mwenzangu naae anaweza kuajirika au kuendesha biashara. Pia sipo busy kama unavyodai, ni vile sioni ulazima wa kuweka details zote hapo kwenye thread, mtu aje PM ndo tuulizane then tuone tunaendeaje.
thats why wanasaikolojia wanakuambia its better kuoa/kuolewa mkiwa katika hali duni lakin upendo kati yenu uwepo kwani harufu ya mendeleo kwenu iko karibu na muda wa kuishi kwenu unakuwa na GUARANTEE kuliko wenye fedha lakini hawana upendo wala furaha ni utumwaHuwa hazidumu. Ndoa ni upendo uliothabiti mengine yanafata taratibu ndio maana Ndoa za sasa huwa hazidumu.
Okay naomba urafiki mkuu!Wala kitaani wapo kubao
Karibu sanaOkay naomba urafiki mkuu!
Haya pamoja sana!!Karibu sana
Hahaaa. Sema pole pole basi Kaka Sababu maneno mazito haya ujue.Hahaaaaa not to that extent!!
Matokeo yake unaoa au kuolewa na jitu lililolaaniwa na wazazi wake unabeba shida bure. .
Ndoa siyo jambo rahisi kiivo
Mkuu badili mtazamo. Ndio maana kuna karine ya 19 na na karne ya 21. Kama Mungu alikubariki kupata mke/mume kwa njia za karne ya 19 ambapo hata mawasiliano kwa simu yalikuwa duni, basi usitake dunia ibake hapo hapo. Thanks for commenting.dah Kweli dunia Inaenda kasi sikuizi uchumba masharti Kama Matangazo ya kazi Kwahiyo hapa tulioshia darasa la sita B hatuhusiki.
My friend, apologies if you have missed my point. Bu I believe, out here are women with same need like mine and I will dearly find one, and I won't call her a chick, but a beautiful wife.You gotta no time for mingling-out? What kind of chik who vows for that?
Haya ngoja waje
Mkuu huo ni mtazamo wako. Mimi sijaweka kigezo hicho kwa bahati mbaya, japo moja ya lengo ni kufilter spammers kwenye PM yangu.dah ila elimu si kitu hasa hasa kama umesoma hii ya tanzania ya kucopy na kupest hakuna anayeelewa......wenye akili timamu huwa wanaoa mke ambye atlest anajua kusoma,kuandika na kuhesabu ili aweze hata kumfungulia kabiashara lakini kuoa mke msomi ni DUNDERHEAD!!!!!
Sikatai negative commentators. But naamini nitapata anifaae.Hahaaaa. Sidhani kama yanaeza zuia wengine Mkuu.
Hivyo punguza hofu. Utampata akufaaye.
nisije kuitwa haterHahaaa. Sema pole pole basi Kaka Sababu maneno mazito haya ujue.
Niseme tu ni kweli kabisa usemalo Kaka. Ndoa sio jambo rahisi.
Mkuu kwanini usifungue uzi wa uchambuzi na maoni yako juu ya hicho unakiamini kuliko kuwa negative kwenye thread yangu maalumu??Hahaaaaa not to that extent!!
Matokeo yake unaoa au kuolewa na jitu lililolaaniwa na wazazi wake unabeba shida bure. .
Ndoa siyo jambo rahisi kiivo
Kwako pia sister wa Mimi.Kweli kabisa.
Uwe na asubuhi njema.
Bado. Thank youMkuu vipi Hadi dakika hii bado hajajitokeza tuu?
Au tayari
Umewahi sitiMmh. Sijuagi kwa nini nimejikuta nawaza ninachokiwaza lol.
Haya Mkuu Kila la kheri Mkuu katika kumpata mwenza hasa humu ndani ya jf kama matarajio yako Mkuu.