Ikiwa kama jambo lolote hata linalohusu utendaji wa wizara moja basi lazima rais ndo atoe jibu; ivi job description ya makamu wa rais inasemaje? Kimsing mbona kama hahitajiki?
Ikiwa kama jambo lolote hata linalohusu utendaji wa wizara moja basi lazima rais ndo atoe jibu; ivi job description ya makamu wa rais inasemaje? Kimsing mbona kama hahitajiki?
Mzee wa mikasi sio mzugaji, akiona tu ribon anatoa mkasi kutoka kwenye mfuko wa kushoto wa koti lake
Utamkuta Makamu wa Rais katika picha akitekeleza majukumu yake ya kikazi vizuri kabisa kwa kugonga link hii hapa chini
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/254313-sifa-makamu-wa-rais-awe-na-stashada-ya-ushonaji.html#post3746518
Ikiwa kama jambo lolote hata linalohusu utendaji wa wizara moja basi lazima rais ndo atoe jibu; ivi job description ya makamu wa rais inasemaje? Kimsing mbona kama hahitajiki?