Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
- Thread starter
- #21
jamani kaacheni kapumzike maana ni kazee sana ila kali badili miaka kipindi kana kwenda marekani kusudi kasikose scholarship cozo kamezaliwa 1936 na kanasema eti 1942.Maana mie babu yangu anamiaka 80..mawazo yake ni primitive afu siunakumbuka enzi hizo wazungu ndio walikuwa wanakata utepe sasa analipizia kabla hajafa.
Afu wenzetu hawa nao sijui vipi! Yaani mi nakaonaga kapo kapo tu, pointi hakana afu upande huo wa nchi kana influence kinoma! Wazenji bana!