Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Hello wanaJF,
Ninataka kuanza kazi za udalali wa nyumba za kupanga, kuuza na viwanja hapa Arusha, ila nataka zaidi nijikite kwenye nyumba za kupanga!
Nipeni uzoefu, changamoto na namna bora za kufanya kazi hii.
Kazi ikiwa nzuri na mpango wa kufungua ofisi physically ya kupatikana. Niwe na kausafiri ka kupeleka wateja Sites.
Kwa sasa hivi najishughulisha na biashara ya vifaa vya ujenzi.
Ninataka kuanza kazi za udalali wa nyumba za kupanga, kuuza na viwanja hapa Arusha, ila nataka zaidi nijikite kwenye nyumba za kupanga!
Nipeni uzoefu, changamoto na namna bora za kufanya kazi hii.
Kazi ikiwa nzuri na mpango wa kufungua ofisi physically ya kupatikana. Niwe na kausafiri ka kupeleka wateja Sites.
Kwa sasa hivi najishughulisha na biashara ya vifaa vya ujenzi.