Kazi ya ualimu kweli ni wito

Kazi ya ualimu kweli ni wito

1. Fundisha kwa uwezo wako sio kwa kujiumiza.
2. Toa quiz kama sehemu ya assignnent
3. Waambie wabadirishane karatasi kusahihishiana
4. Muambie monitor akusanye karatasi zilizosahishwa then arekodi marks za kila mwanafunzi.
4. Kila darasa ingia mara moja kwa week na fundisha masaa mawili
5. Ili kumaliza sylabus wagawie presentation kwa magroup na hakikisha wanapresent wote ili waelewe.
6. Ukifanya hivyo mwalimu watafaulu wote nna uhakika.

Sio kwa watoto wa siku hizi. Akiwa tu nyumbani uki mwambia shika daftar usome ata page moja anadai dingi unazingua . Akienda shule anasoma kwasababu ya kuogopa viboko. Huo muda wa kukaa na wenzake afanye prensentation anautoa wapi. Na kubeti anamwachia nani. Mtoto ukimuuliza msimamo wa premier ligue anatililika kama maji ya mto rufiji. Lakini ukimuuliza What is petty cash hajui amawaza tu yake. Tulipofikia watoto wanafeli sio kwa sababu ya walimu . Bali ni kwa sababu ya melizi na wazazi ku kwepa majukumu yako kama baba au mama. Unakuwaje na mtoto anaenda darasan kapigilia mlegezo unachekelea. Mwalimu kamchap unamaindi. Inafikia hatu mwanafunzi anaona techer kwake sio kitu. Chochote anacho ambiw na mwalimu wake anaona teacher anazingua. Wazazi tujiangalie kwanza wenyewe. Mtoto mwenye maadili haferi darasani kamwe ata kama hakuna mwalimu anajua jinsi ya kujisaidia mwaenyewe. Binafsi sio mwalimu ila nishawahi kufundisha. Na usombe uwe mwalim mtoto mtoto. Mbona utajutaa.
 
UALIMU KAZI KAMA KAZI NYINGNE, WE FUNDISHA KWA KIWANGO CHAKO, mfano maximum number of period 22 per week, WE UNATOA DAMU YAKO KWA VIPINDI 40, ACHA ILI AAJIRIWE MWINGNE UKING'ANG'ANIA SERIKALI INAJUA KUNA WALIMU WA KUTOSHA KTK MASOMO YAKO, ACHA NAFASI NA MWINGNE AAJIRIWE, angalia shule za mjini mwl anavipindi 2 au 4 tu, kwa wiki, mshahara sawa na bado ana biashara kibao, WE UKISTAFU NDO UTAJENGA WAKATI WA MJINI KESHAJENGA NA WAPANGAJI KIBAO ANAO,
 
[QUOTaE=masamchris;14814874]UALIMU KAZI KAMA KAZI NYINGNE, WE FUNDISHA KWA KIWANGO CHAKO, mfano maximum number of period 22 per week, WE UNATOA DAMU YAKO KWA VIPINDI 40, ACHA ILI AAJIRIWE MWINGNE UKING'ANG'ANIA SERIKALI INAJUA KUNA WALIMU WA KUTOSHA KTK MASOMO YAKO, ACHA NAFASI NA MWINGNE AAJIRIWE, angalia shule za mjini mwl anavipindi 2 au 4 tu, kwa wiki, mshahara sawa na bado ana biashara kibao, WE UKISTAFU NDO UTAJENGA WAKATI WA MJINI KESHAJENGA NA WAPANGAJI KIBAO ANAO,[/QUOTE]

mkuu,unamaanisha nizembee kidogo kazini ili pengo la mwalimu lijidhihirishe ama?kwa kifupi niache 'kukaza'?
 
Waalimu wamedhamiria kumuonyesha magufuli ubure wa elimu bila mipango
. Mnakaa mnaiga sera za ukawa bila kujua namna ya kuzitekeleza!
 
Ukishindwa ondoka, waachie wanaoweza. Haina sababu ya kushikilia vitu ambavyo vinakuumiza. Mfano, tangu nimeachana na Ualimu ni muda mrefu sasa umepita, je maisha hayajaendelea? Je hawajafaulu kwa sababu nimeacha ualimu? No maisha yao na yangu yameendelea, kama nimefeli kwenye maisha au kama nimefanikiwa si kwasababu niliacha kufundisha ila ni either nimefeli kwenye maisha kwasababu ya kutojituma au kwa sababu ya weak decision au vice versa. Kwahio usiidhulumu nafsi yako. Unajua formula kubwa kefeli maishani ni kujaribu ku please kila mtu, eti ooggh nikiondoka hawa watoto itakuaje sasa! Kwani wakati haupo ilikuaje? Mpwa sikiliza moyo wako unachokutuma. Otherwise utaishia kwenda kukopa kwa mangi daily
 
Back
Top Bottom