Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,538
O level wanahitaji kwenda nao taratibu na kwa makini. wewe mambo ya chuo unashauri kwa O level? Hiyo approach yako ==mass failure
Nilishawafanyia F3 na F4 Bios. Somo langu liliongoza kwa ufaulu shuleni. By th way lazima ujue darasani kuna waliokuja kukua, na wanaojitambua wapo pia wale wa kati kati wapo. Set goals zako kama nwalimu deal na wale wa katukati na wale wanaojitambua. Walokuja kutafta wachumba wapotezee bila wao kujua