Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,870
Jamani,
Naomba nijipambanue tu,mimi ni mwalimu wa sekondari ya Kata, nafundisha masomo ya book-keeping na commerce, hapa nilipo nafundisha peke yangu form 1 hadi form 4.
Nina wanafunzi kama 470! kuna miaka ya nyuma wanafunzi walikuwa wanachangishwa sh 5000 kila mwanzo wa muhula kwa ajili ya kuajiri walimu wa kujitolea ambao kiukweli walikuwa wananisaidia sana, sasa nasikia kuanzia mwakani wazazi hawatoi hiyo pesa!
Kwa maana nitakuwa peke yangu kwa madarasa manne!hata kama ni bure ndo hivi kweli?au watachukua na walimu walio mtaani bila kazi tusaidiane?au nikalime tu?
Wakuu msaada hapa, madarasa manne sio masikhara?
Naomba nijipambanue tu,mimi ni mwalimu wa sekondari ya Kata, nafundisha masomo ya book-keeping na commerce, hapa nilipo nafundisha peke yangu form 1 hadi form 4.
Nina wanafunzi kama 470! kuna miaka ya nyuma wanafunzi walikuwa wanachangishwa sh 5000 kila mwanzo wa muhula kwa ajili ya kuajiri walimu wa kujitolea ambao kiukweli walikuwa wananisaidia sana, sasa nasikia kuanzia mwakani wazazi hawatoi hiyo pesa!
Kwa maana nitakuwa peke yangu kwa madarasa manne!hata kama ni bure ndo hivi kweli?au watachukua na walimu walio mtaani bila kazi tusaidiane?au nikalime tu?
Wakuu msaada hapa, madarasa manne sio masikhara?