Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,544
- 1,722
Wanayatia ndani ya beseni la chips na kuanza kuzichemsha humo.ole kwa wapenda chips.Kwenye kupikia apo...
Yanatumika kama mafuta ya kupikia(cooking oil), ama kama chanzo cha moto? (Fuel).?
Wanayatia ndani ya beseni la chips na kuanza kuzichemsha humo.ole kwa wapenda chips.Kwenye kupikia apo...
Yanatumika kama mafuta ya kupikia(cooking oil), ama kama chanzo cha moto? (Fuel).?
Sasa ushaambiwa yale mafuta ni dawa,kama yanaponya na kupooza mashine ya transformer...nayo dushe kwanini isibustNa huyo anaepanda juu ya hilo transfoma na kuchukua mafuta ni kama kujitoa muhanga aisee.
Kazi yake ni kuwa yanaongeza nguvu za kiume,utafiti huo ulifanyika uko marekani walichukua mafuta ya transiformer wakapikia chakula kisha wakawapa wenye ukosefu huo na kuonyesha matokeo mazuri......so sie wanaume tusiwachukie wauza chipsi
Nahisi kuna nguvu ya kimahusiano kati ya nguvu ya umeme na nguvu za kiume.......kupanga ni kuchagua tutumie umeme ama tuongeze heshima za ndoa katika majumba yetu
Wewe Hajto....utaleta tabu watu watachokonoa transform mpaka miji iwe giza tupu. Si unajua Upungufu wa Nguvu za Kiume(UNK) ni tatizo la kitaifa.
Ukijipaka unababuka mwiliKujipaka upaukii mwaka mzima
Watu wanap tengeneza mkorogo pia huyatumiaUkijipaka unababuka mwili
Kweli nimeamini Mtanzania ukimpatia picha maelezo atatoa yeyeWatu wanap tengeneza mkorogo pia huyatumia
Inasemekana
Ova
Hili aisee inabidi tulifanyie utafiti,kwa jinsi yale mafuta yalivyo na harufu yake ilivyo kali,kuniambia ya kuwa yanatumika kwa ajili ya kukaangia chips,akili yangu ina kataa kabisa.Kukaangia chips
Unapaka maeneo gani bwana devil 😃😃😃😃😃😃😃Kujipaka upaukii mwaka mzima