Kazi ya kuandikisha BVR Ilala

Kazi ya kuandikisha BVR Ilala

alafu inakuaje mtu mmoja jina lake limetoka sehemu zote mbili?
 
kwani majina yametoka? And if yametoka wamebandika wapi ndugu?

ndio yametoka na usaili ni leo saa tatu pale shule ya msingi mnazi mmoja. mbona nimattach hayo majina humu
 
kwa aliepo apo mnazi mmoja kwenye interview vipi wameshaanza..tafazal naomba kujuzwa
 
Kwa waliofanya usaili leo wilaya Ilala stay tuned majibu muda wowote kuanzia sasa!
 
hii inaweza kuwa one of the reasons as to why wameahirisha zoezi until further notice eeh..haya tusubirie watu wa Dar tukajiandikishe
 
habar zenu wakuu,
majina mwenzenu nimeona jana wakati mda ushakwisha je kuna uwezekano wa kuendelea usaili siku ya leo tarehe 27?
 
Majina mpaka sasa bado sasa sijui kwanini ilala mambo yanakuwa yanachelewa kiasi hiki, mpaka watu tunakata tamaa

glamoros usikate tamaa,am sure ww ni kijana unakataje tamaa??hii kaz mi niliiomba kimasikhara tu Kino,majina yakatoka langu sikuliona,watu wakaitwa kwenye usaili.So nikawa nimeshaachana na hiyo issue huku naendelea na mambo yangu.Jana natumiwa sms natakiwa kwenye SEMINA YA B.V.R,namba siijui,nikapiga sim kwa mhusika akanambia unapaswa kuja kwenye semina.Nikabak nineduwaa tu.Be strong mdau
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom