shemweta91
Senior Member
- Sep 4, 2013
- 101
- 18
Habari wana JF.
Mimi ni mmoja wa waliopeleka maomba ya nafasi ya kazi ya BVR operator kwa upande wa Ilala ila mpaka sasa sijajua kinachoendelea mana wenzetu wa wilaya tofauti washapata na tumeona walipofikia mpaka sasa ila kwa ilala ni kimya. Hivyo mwenye taarifa kamili ninamuomba atupatie hapa nasi tujue kama tushakosa ama ni vipi.
Nawasilisha!
Mimi ni mmoja wa waliopeleka maomba ya nafasi ya kazi ya BVR operator kwa upande wa Ilala ila mpaka sasa sijajua kinachoendelea mana wenzetu wa wilaya tofauti washapata na tumeona walipofikia mpaka sasa ila kwa ilala ni kimya. Hivyo mwenye taarifa kamili ninamuomba atupatie hapa nasi tujue kama tushakosa ama ni vipi.
Nawasilisha!