Kazi ya Kikwete ni kuhudhuria kila msiba?

Binadamu kazi
 
Ukielewa kiswahili vizuri hupati shida.
Nadhani neno "kila" linaitetea mada hii na aliyeileta.

Jamani hata kama tumetumwa kutetea basi sio kila jambo, tusitafute "excuse", kwa hili la msiba wa hawa malaika Rais wetu amekosea, tumwambie ukweli ni msiba mzito sana, alipaswa kutuongoza waombolezaji. Hata dunia inazungumzia pia msiba huu.
 
Ila Magufuli mnamlaumu na kumsema vibaya. Bavicha mnaonekana kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…