nasaka kazi tempo ya uDJ niko na experience na 2&4 ways mixer na kutumia laptop na mixer,
nasaka kazi tempo ya uDJ niko na experience na 2&4 ways mixer na kutumia laptop na mixer,
nafikiri bado we uko analogy! kwa sasa mitambo inajiendesha yenyewe kwa digital hakuna cha DJ wala nini? au unataka kujua hizo program nikupakulie? hata ukitaka za kupiga 72hrs,zikiwa a jingle nk?
pole sana
nafikiri bado we uko analogy! kwa sasa mitambo inajiendesha yenyewe kwa digital hakuna cha DJ wala nini? au unataka kujua hizo program nikupakulie? hata ukitaka za kupiga 72hrs,zikiwa a jingle nk?
pole sana
niko dar sijawahi kupiga kupiga kwa dar nimepiga kampala wakati niko chuo na niko na uzoefu na nyimbo za east Africa
Mimi ni DJ ninayetumia kanda na redio ya dabodeka (LASONIC) kisha nafunga amplifaya na maspikaWewe ni DJ wa aina gani? Jieleze zaidi ili wahusika wajue unaweza kusimama wapi!
Mimi ni DJ ninayetumia kanda na redio ya dabodeka (LASONIC) kisha nafunga amplifaya na maspika
![]()
kwa hiyo mitambo au program na wewe utajiita dj.........nafikiri bado we uko analogy! Kwa sasa mitambo inajiendesha yenyewe kwa digital hakuna cha dj wala nini? Au unataka kujua hizo program nikupakulie? Hata ukitaka za kupiga 72hrs,zikiwa a jingle nk?
Pole sana
hawa ndio ma dj sasa ...anazungusha kanda na pen afu utasikia hapo tulia ushaufikia wimbo fulaniMimi ni DJ ninayetumia kanda na redio ya dabodeka (LASONIC) kisha nafunga amplifaya na maspika
![]()
Raha ya kuendesha gari ni Manual bana si uvivu wa Automatic!!
Why tempo unakibarua kingine ?, kama tempo jaribu kwenye Clubs tuma CV zako. Kama ya permanent ni Pm nikutonye ujaribu bahati kwenye redio moja hapa Bongo.
Mimi ni DJ ninayetumia kanda na redio ya dabodeka (LASONIC) kisha nafunga amplifaya na maspika
![]()
nasaka kazi tempo ya uDJ niko na experience na 2&4 ways mixer na kutumia laptop na mixer,