Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!


Hapa anazungumziwa Mungu aliyetajwa katika yohana 17:3.
Maana miungu wako wengi bali Mungu wa pekee na wa kweli ni mmoja tu.

Inabidi umtaje kabisa Mungu wa (Abrahamu, Israeli, David etc)..hivi vi miungu vinaweza kuwa kila kimoja kina mtu wake ambaye akichegua kuwa mungu wake(mmoja), na kwao ni wa kweli kwa vile ni real thing ila si all powerful, wala merciful, wala owner of the world.
 
Uwezo wa akili wa wanachadema ni mdogo sana hata lisu nae mnathubutu kumuita alama ya uwepo wa Mungu...ka

Mkuu,nasikia kwenu Icon ya Utukufu wa Mungu ni yule Jamaa aliyeanzishia tabia ya kufuga mi ndevu na kuvaa kofia ya Ki China Mara baada ya kutoka China na Ghafla,as a result,Bomu la kichina Likarushwa Mkutanoni mwa CHADEMA...
 
Natokwa na machozi ya Furaha ya kuwa Tunaye mtoto mwingine wa Tanzania anayeona manyanyaso wanayopata Watanzania na kuwatetea-Mungu amrehemu na kumpa Maisha Marefu sana.
 
Lisu ni mtu wa haki kamulizeni Xuma wa bondeni ni shuuda mzuri wa Lisu
 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Mara nyingi sana nikiwaga Namuangalia Lissu, the way anavyojengaga Hoja, the way anavyopanguaga Hoja, hasa hasa zile Hoja za kutungwa na watu wenye Roho za Kishetani, sina haja ya Kuwataja, Mnawafahamu nina Uhakika,the way anavyojielezea Mbele za Watu na Mbele ya Kadamnasi kwa Ujumla.
Na Pia, Kila nikiangalia Kazi za Mikono ya na Kichwa cha Lissu, Matokeo yake yanadhihirisha Huyu Kamanda ametumwa na Mungu.
Kama nikiorodhesha Kazi alizo zifanya Lissu, Nadhani the list will be endless, the list will be infinite.

Sina Mengi, Najua kuwa wale Buku 7, Lumumbar Project, Wakiongozwa na Senior Lumumba Buku 7 Project, Ritz , watakuja na Povu, Mkia Juu
Katika Kutaka Ku Justify kwa Ma Boss wao jinsi Cash advance (One Month) walizoepewa tayari vile Zinafanya Kazi.


Ila Hawataubadilisha ukweli ulio wazi kuwa, Tundu Antipasi M Lissu ni Alama ya Uwepo wa MUNGU CHADEMA , Tanzania na Duniani kwa Ujumla
1. Msitafute huruma kwa kuwahadaa watu kuwa chadema ni chama cha mungu, huo ni ujinga uliopituka mipaka
2. Ni upumbavu ni kuhusisha chama cha siasa na imani/ mungu
3.mungu hayupo upande wa wamwagia watu tindikali
4.mungu hawezi kuwa upande wa watu wanaolisha wenzio sumu
5. Dr kigwangalla alishasema wazi bungeni kuwa anamtibu lissu ule ugonjwa wake, tupate updates juu ya hilo
6. Mungu hayupo na wazinifu wanaovunja ndoa za watu

Tufanye siasa za hoja sio vioja
 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Mara nyingi sana nikiwaga Namuangalia Lissu, the way anavyojengaga Hoja, the way anavyopanguaga Hoja, hasa hasa zile Hoja za kutungwa na watu wenye Roho za Kishetani, sina haja ya Kuwataja, Mnawafahamu nina Uhakika,the way anavyojielezea Mbele za Watu na Mbele ya Kadamnasi kwa Ujumla.
Na Pia, Kila nikiangalia Kazi za Mikono ya na Kichwa cha Lissu, Matokeo yake yanadhihirisha Huyu Kamanda ametumwa na Mungu.
Kama nikiorodhesha Kazi alizo zifanya Lissu, Nadhani the list will be endless, the list will be infinite.

Sina Mengi, Najua kuwa wale Buku 7, Lumumbar Project, Wakiongozwa na Senior Lumumba Buku 7 Project, Ritz , watakuja na Povu, Mkia Juu
Katika Kutaka Ku Justify kwa Ma Boss wao jinsi Cash advance (One Month) walizoepewa tayari vile Zinafanya Kazi.


Ila Hawataubadilisha ukweli ulio wazi kuwa, Tundu Antipasi M Lissu ni Alama ya Uwepo wa MUNGU CHADEMA , Tanzania na Duniani kwa Ujumla

Hata mimi huyu jamaa huwa namwangalia kama mkombozi aliyetumwa na Mungu na si vinginevyo
 
Mimi ni mwanachadema ila Kwa hoja hii ilivyokaa nakubaliana na wewe. Nawashangaa sana wanaompongeza bcoz kumwita ni alama ya uwepo wa Mungu it is blasphemy

Mimi naona tuone kitu kimoja, Nacho ni kuwa "Pahala ambapo kuna uwepo wa mungu, kazi yake huonekana,waovu hukwama kutenda maovu, waovu hushindwa katika harakati zao, vivyp hivyo pahala pasipo na uwepo wa Mungu, maovu hushamiri na hao watendao maovu huona washindi"

Kwa Hiyo kwangu mimi sioni kosa kusema ni "alama ya uwepo wa Mungu" katika biblia, mfalme mmoja aliweka jiwe akaliita EBENEZAR yaani jiwe la msaada na akasema Mpaka hapa Mungu amekwisha TUSAIDIA, nami naamini hadi sasa Mungu amekwisha tusaidia kwa kutupa watu makini kama LISSU katika ardhi ya Tanzania ambao wana upeo wa kuona na kutoa msaada mahali panapohitajika. Bila uwepo wa Mungu katika haya ingekuwa kazi bure.

hebu wote tuseme Amen au Bismilah.
 
1. Msitafute huruma kwa kuwahadaa watu kuwa chadema ni chama cha mungu, huo ni ujinga uliopituka mipaka
2. Ni upumbavu ni kuhusisha chama cha siasa na imani/ mungu
3.mungu hayupo upande wa wamwagia watu tindikali
4.mungu hawezi kuwa upande wa watu wanaolisha wenzio sumu
5. Dr kigwangalla alishasema wazi bungeni kuwa anamtibu lissu ule ugonjwa wake, tupate updates juu ya hilo
6. Mungu hayupo na wazinifu wanaovunja ndoa za watu

Tufanye siasa za hoja sio vioja
Biblia inasema tiini mamlaka zilizopo maana zinatoka kwa Mungu (but sio hii ya TZ ya sasa). kama siasa haitakiwi kuingiza Mungu ndani yake Mbona maandiko yakaagiza kuzitii wakati ikwa wazi mamlaka zote zinatokana na SIASA.

Huyo Kigwangala ana lipi la maana katika nchi hii wakati yeye mwenyewe kanyang'anya haki ya kusoma ya mtu mwingine. Tena hawa madaktari wa aina ya kigwangala ndio wale wehu wanaopasua watu vichwa badala ya mguu. huyu frustrations tu zimemjaa, tena ashukuru Kupewa ubunge wa huruma.
 
1. Msitafute huruma kwa kuwahadaa watu kuwa chadema ni chama cha mungu, huo ni ujinga uliopituka mipaka
2. Ni upumbavu ni kuhusisha chama cha siasa na imani/ mungu
3.mungu hayupo upande wa wamwagia watu tindikali
4.mungu hawezi kuwa upande wa watu wanaolisha wenzio sumu
5. Dr kigwangalla alishasema wazi bungeni kuwa anamtibu lissu ule ugonjwa wake, tupate updates juu ya hilo
6. Mungu hayupo na wazinifu wanaovunja ndoa za watu

Tufanye siasa za hoja sio vioja

Hebu chukua Ratio ya Walio Support huu uzi against nyie Buku 7 Lumumba Project uone jinsi Sauti ya wengi ilivyo Sauti Ya Mungu...
 
Uwezo wa akili wa wanachadema ni mdogo sana hata lisu nae mnathubutu kumuita alama ya uwepo wa Mungu...ka

unataka kumfananisha na nani?yeye peke yake ni zaidi wa wabunge kumi wa magamba,ukimchukua,komba,mwighulu,kibajaji,kigwangala,serukamba,nkamia,wassira,lukuvi,shelukindo,na maji marefu ndio unapata lissu.
 
Lissu amwombe Mungu apewe HEKIMA, his communication skills is too low too!
Hayo yakiti-improve atakuwa na sifa alizopewa na mtoa hoja! Kwa sasa ni wenye uwezo wa kati kwenda mdogo ndio wanaweza kumpa heshima anazopewa sasa.
 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Mara nyingi sana nikiwaga Namuangalia Lissu, the way anavyojengaga Hoja, the way anavyopanguaga Hoja, hasa hasa zile Hoja za kutungwa na watu wenye Roho za Kishetani, sina haja ya Kuwataja, Mnawafahamu nina Uhakika,the way anavyojielezea Mbele za Watu na Mbele ya Kadamnasi kwa Ujumla.
Na Pia, Kila nikiangalia Kazi za Mikono ya na Kichwa cha Lissu, Matokeo yake yanadhihirisha Huyu Kamanda ametumwa na Mungu.
Kama nikiorodhesha Kazi alizo zifanya Lissu, Nadhani the list will be endless, the list will be infinite.

Sina Mengi, Najua kuwa wale Buku 7, Lumumbar Project, Wakiongozwa na Senior Lumumba Buku 7 Project, Ritz , watakuja na Povu, Mkia Juu
Katika Kutaka Ku Justify kwa Ma Boss wao jinsi Cash advance (One Month) walizoepewa tayari vile Zinafanya Kazi.


Ila Hawataubadilisha ukweli ulio wazi kuwa, Tundu Antipasi M Lissu ni Alama ya Uwepo wa MUNGU CHADEMA , Tanzania na Duniani kwa Ujumla

Hata babu wa loliondo alisema kuwa alitumwa na mungu lakini kauwa watanzania kibao 😉Jaribuni kumuepusha mungu na mambo ya kipuuzi ya siasa, Lissu ni mwanasiasa wanasiasa wote ni waongo,wenye akili wameshawahi kusema siasa ni mchezo mchafu
 
He is simply the best MIND i have ever seen in the LEGAL and POLITICAL arena so far.Very few Politicians can come close to Lissu's ability when it comes to debating skills as well as oratory skills,Sadly they all come from Opposition Parties,Namely;Mnyika and Zitto.No hard feelings to CCM.
 
Mimi ni mwanachama wa CHADEMA but I do not subscribe to this (in red). Mungu hajaleta chama chochote ila anafanya kazi na wote wanaosimamia haki maana Yeye (Mungu) ni mwenye haki.
Nakubaliana na wewe mkuu, Lakini, huoni kuwa angalau CHADEMA ndio wanaoonekana kusimamia haki?
 
Back
Top Bottom